PETE YA KIKE Sehemu Ya 9 - UHONDO KITANDANI

Hot

Post Top Ad

https://play.google.com/store/apps/details?id=chumba.cha.wakubwa

Saturday, February 1, 2020

PETE YA KIKE Sehemu Ya 9






"enheeeeee, safi nimekumbuka"
Aliongea asha huku mama na baba wakipumua kuona Afadhali asha kajua surian kaenda wapi...
"kaenda wapi kwani"
Aliuliza mama huku wakiwa makini kumsikiliza asha
"jana nilimsikia suria kwa masikio yangu mawili...."
Aliongea asha huku akiwashtua wazazi wake kana kwamba labda suria kabadilika tabia...
"kasema nini mdogo wako? Hebu sema"
"jana jioni suria aliiiii"
Sasa asha kila akitaka kuongea uongo anashindwa, kwasababu ile pete haitaki uongee uongo bali inataka uongee ukweli,.. Sasa asha alitaka kumchomekea mdogo wake kisa anapendwa na wazazi, sasa pete haitaki uongo...
"sasa aliiii aliii nini"
Mama huyo alimwambia mwanae hivyo, kwani hajui hapo aliposema aliii kumbe hio pete ndio imemzuia kuongea uongo.. Sasa asha baada ya kuona anashindwa kuongea uongo, aliamua kuingea ukweli halisi ambao anaujua yeye kuhusu mdogo wake..

ENDELEA.........

Familia ya mzee Rashidi haipendani sana kwani wazazi hao walimpenda mtoto mmoja, kitendo ambacho mtoto mwingine amekosa elimu kutokana na upendeleo wa jinsia, wazazi hao walipenda kumsomesha mtoto wa kiume zaidi kuliko mtoto wa kike hivyo mtoto wa kike kujenga chuki katika moyo wake, hivyo hata ikifikia wakati wa kumuongelea mdogo wake, hujikuta akitaka kumchongea kwa kila jambo, kwani tayari alisha jenga chuki juu yake, kwakua kapendelewa elimu ya juu kuliko yeye, kwani yeye alipofeli tu wazazi wakaamua kumuacha, kutokana na mabadiliko yake ya kimavazi, hivyo kwa kitendo hicho wazazi wakaona watapoteza pesa bure, ni bora wamsomeshe mtoto wa kiume....

Sasa leo suria haonekani nyumbani toka alipo aga kwenda shule baada ya kuchelewa kutokana na simu ambayo alipigiwa na kampuni fulani kwa ajili ya intaviu,... Hivyo alipoulizwa asha akajibu anafahamu ukweli wote, lakini asha alitaka kuongea uongo, ila pete alio nayo hamruhusu kuongea uongo.. Hivyo akaamua kusema ukweli ambao yeye anaujua

"jana jioni suria alipigiwa simu kuwa anahitajika kwenye intaviu ya leo,.. Kwahio labda atakuwa kaenda huko"
Ni kweli alicho ongea asha kuwa siku ya jana jioni suria alipigiwa simu na kampuni fulani....
"lakini, ni kweli hata asubuhi alijaribu kupiga hio simu akaambiwa kuwa haikuwa simu yake walikosea tu,... Ndipo nikamwambie aende ahule tu ili asipoteze kote kote... Sasa ndio hajarudi mpaka sasa hivi"
Aliongea mama yake surian huku mzee akishangaa
"alaaa... Kumbe jana aliitwa"
"ndio, aliitwa lakini ile simu ilisemekana sio yakwake hivyo kwa sasa hatujui kaelekea wapi"
Aliongea mama huku huzuni ikizidi
"mtaumia na presha bure wazazi wangu, tatizo mmezidi kumpenda mno, haya sasa masaa kadhaa tu mumesha anza kutaka hata kulia"
Aliongea asha kisha akaingia zake ndani, huku wazazi wakimshangaa asha
"huyu mtoto nae ana nini huyu... Badala awe nasi kupata habari za ndugu yake... Anataka kunanihii tena"
Aliongea baba yake asha huku mzee akichungulia nje kana kwamba Anaweza kumwona mtoto wake kama atatokea kwa nyakati hizo,.. Lakini hakukua na lolote,...

BAADA YA SIKU TATU KUPITA

Katika falme ya majini, suria ali laani sana kwa kitendo cha kupewa kazi ya kuwa Gardener Boy (mtunza bustani) ikiwa ni kwenye mazingira mazuri mithili ya peponi, na ndio maana huku hawataki watu wachafu kwani wao wenyewe ni wasafi, hivyo wataishi na msafi vilevile kama wao

Surian alilaani kazi hio kwani aliambiwa ni kazi za ofisini lakini mwisho wa siku anapewa kazi ya kunyweshea maua na kiti iliopo katika bustani hio,... Alikataa lakini alikubali baada ya kutajiwa malipo yake kuwa kila mwisho wa mwezi atalipwa dhahabu yenye ukubwa wa kidole gumba cha mguu wake,... Hakuamini kuskia hivyo, na ndipo akakubali kufanya hio kazi japo ni kazi za watu ambao sio wenye elimu kama yake,... Majini wote walipo hapo wakiwa wamevalia mavazi meupe mithili ya malaika,... Lakini suria yeye hajui kama anaishi na majini na yeye anajua yupo nchini dubai, kwani kawekewa kiini macho juu ya mazingira ambayo atayaona...

Siku moja surian akiwa katika moja ya kazi yake hapo bustanini, tena alikuwa akiikatia bustani vyema sana
Alikuja Murati sabaha kama kumjulia hali mfanyakazi wake,...
"haha kumbe unaweza kukatia nyasi vizuri"
Aliongea Murati sabaha huku akizidi kusogea katikati ya bustani,...
"ndio dada, kwakua nalipwa, sina budi kufanya vyema katika kazi yangu"
Aliongea suria huku akiwa bize, na unaambiwa hio bustani hua haina haja ya kuweka mfanyakazi, na sio lazima kuweka binadamu... Ila Murati aliamua kuweka binadamu badala ya jini mwenzie au kuacha kabisa...
"ok ni sawa... Aaa kwa sasa nadhani utakuwa umechoka, kakoge upumzike sasa"
Aliongea murati sabaha akiwa kama malikia wa eneo hilo,... Kweli suria aliacha ile kazi na kuingia zake bafuni ili apate wakati wa kupumzika... Toka surian afike huku hajui msikiti ulipo hivyo leo aliona ni vyema akimaliza kuoga aulizie msikiti ulipo..

Kama kawaida majini hua sio wachafu hivyo kuanzia choo mpaka bafu hukaa nje kabisa tena mbali kwani wanajua madhara ya choo... Sio huku dunia ulipolala kuna choo... Kana kwamba unaishi na shetani karibu,... Ujinini hakuna kazi, majini walikua wakicheza na njiwa walio weupe mithili ya mavazi yao yalivyo, murati Sabaha nae pia alikua mpenda wanyama sana hivyo katika kuruka ruka na njiwa, akafikia kwenye dirisha ambalo surian anaoga... Jicho la kwanza lilitua katikati ya mapaja ya surian
"Allahhitari (mungu wangu)"
Murati sabaha alitahamaki kwa kushuhudia maungo ya suria akiwa anaoga, na hua kwenye huo mji wao hawa majini, hua wanaishi kama binadamu, hua hawatumii uhalisia wao, utmgusa mtagusana kabisa mtakula pamoja mtafurahi mapoja nao,... Yaani hawana uhalisia wa kijini ila wakiwa mbali na hapo ndio hutumia uhalisia wa kijini.. Ni kama mtu alio ishi mjini sasa akienda kijijini kwao anafanya kama pumziko mana kupo free hakuna bugza kama mjini, hivyo hata hawa majini wakiwa kwao, utawaona kama binadamu, hawatumii nguvu za kijini kama walivyo,... Hivyo Murati sabaha alipo ona maumbile ya kiume kwake ilikua kama ajabu, kwani hakuwahi kuona maumbile ya kiume ya binadamu,... Sasa akiwa kakaa kitandani kwake anahema sana,.. Huku akiyakumbuka maungo yale,..... Kwake ilikua kama ajabu kwani yeye na surian ni asili mbili tofauti, suria ni binadamu kamili, na Murati sabaha yeye ni jini kamili, na hana asili mbili kama maimati na shaimati...

Sasa tukija huku duniani, ikiwa katika duka ambalo anauza faima... Akiwa kakaa kiunyonge sana kwani ni siku ya tano kwake hamuoni surian ambaye ni mchumba wake... Mana kamzoea sana....
"shkamoo mama"
Faima alikumbuka wakati alipokwenda kwa akina surian kumuulizia
"marahaba mwanangu.. Tena Afadhali umekuja.... Hivi surian upo naye huko"
Aliongea mama yake suria huku faima akishangaa, kwani yeye naye kaja kumuulizia suria sasa kabla hajauliza, anashangaa naye kuulizwa,
"mama, hata mimi ndio nimekuja kumuulizia"
Aliongea faima wakati yupo nyumbani kwa akina surian...
"jamani, hivi mwanangu kaenda wapi"
mama alianza kulia kwani kila mtu aliokua karibuni na surian hajui surian kaenda wapi,...

Faima alimaliza kumbukumbu yake wakati wa asubuhi alipo pitia kwa akina suria,... Faima alikua hana raha kabisa katika moyo wake....
"faima, una nini mdogo wangu... Mbona upo katika mawazo makubwa kiasi hicho"
Alikua ni dada yake faima aliokwenda kwa jina la ZAMINA,...
"dada zam, suria wangu simuoni, yapata siku ya tano leo, sijamtia machoni"
Aliongea faima huku machozi yakimlenga na hapo ilikua ni dukani anapouzia nguo, na ikumbukwe kuwa, hata wale majini walikuja kununua nguo hapa kwa ajili ya kutembelea uraiani,...
"yaani wewe sjui ukoje... Ina maana kumbe unawaza wanaume... Aahh tu umesha niuzi"
Aliongea zamina, huku akipiga hatua za kuondoka
"sasa niwaze nini... Surian ni mume wangu mtarajiwa... Leo ni siku ya tano... Nashindwaje kuwaza"
"sawa, we wazaaaaa.. Wazuaaaa, kisha ukutwe na boss wako uikose hio kazi"
Aliongea zamina huku akiondoka kabisa, na hio ni dhahiri kuwa zamina hakubaliani na mdogo wake awe mke wa surian...

Huku kwa mama surian, kakaa katulia kimyaa kajiinamia huku asijue afanye nini...

Huku kijiweni kwa baba yake, anatangaza kila mahali kuhusu kupotea kwa mtoto wake, yaani wanavyo mpenda suria, utafikiri ni mtoto mdogo, kumbe ni mtu anajielewa vyema...

Huku kwa asha, kama kawaida anapiga hela tu... Wakati huo Pete ipo kidoleni inatoa riziki zake,...
"hivi unajua siri ya wateja wa asha"
Aliongea rafiki yake mmoja aliokuwa akiona umati wa wateja wakimiminika katika saluni ya asha, tena sasa saluni imekuwa na imeng'aaa, na pia kaongeza madraya ya kusukia sjui kushonea, aah mimi sijui

"siri?? Siri gani tena nawe Fatuma"
Aliongea amina na hao ni marafiki zake wakubwa wa asha lakini sasa hivi wanaanza kumfitinia baada ya asha kuanza kuneemeka kibiashara
"acha uzoba amina.... Sasa hivi mdogo wake haonekani, na inasemekana keshamtoa mdogo wake"
"weeeeeeeeee fatuma wewe... Maneno gani unaongea hayo"
"sasa mimi ndio nakwambia sasa... Siku asha anaanza kupata wateja.. Na mdogo wake ndio akapotea poteeee"
"mmmhhh we Fatuma mbona una makuu hivi"
"ndio ujue sasa... Hivyo wewe waone tu wateja wamejaa pale.. Ila kuna damu ya mtu pale"
Aliongea fatuma huku amina akibaki mdomo wazi kwa taarifa hizo ambazo fatuma anazitoa...
"lakini mbona kama kweli"
"sio kama kweli... Ni kweli"
Marafiki hao walikua pembezoni mwa saluni hio, wakibwata umbea juu ya asha kupiga hela kwa wakati huu mdogo wake kapotea.....

Sasa tukirudi huku katika ngome ya mjini, ikiwa ni usiku huku kwa majini, lakini kwa duniani ni mchana kweupe
Suria akiwa kaketi mahali alikua akiskia harufu ya chakula kizuri sana lakini hakijulikani kinapo pikwa, mana hapo ni kama mji na kila nyumba imejengwa kwa vimiminiko vya dhahabu,... Wapo wafanyakazi wa kawaida ambao ndio wanamletea surian chakula,... Na hao sio wafanyakazi nao ni majini ila surian yeye anajua ni wafanyakazi, yaani yeye hajui kitu mpaka wakati huo...

Sasa baada ya mfanyakazi huyo kuondoka, murati Sabaha alikuja...
"aahh boss, karibu"
surian alimkaribisha, na hata wao huvaa nguo za kawaida ila kwa mara chache sana na nguo zao zipo kama nguo za wahindi zile,... Mitandio mingii, gauni mpaka chini, yani ni heshima mwanzo mwisho..
"ahsante sana, vp chakula unakionaje"
Aliuliza Murati sabaha huku suria akijibu kuwa
"ni kitamu kwakweli,..."
Alijibu suria huku murati akikaa katika kiti cha kimalikia,... Sasa Murati kila akimuangalia suria, anakikumbuka kiungo alicho kiona bafuni, hakuwahi kuona kiungo cha binadamu..
"numepika mimi"
"waoooo safi sana"
Aliongea suria huku murati nae akitabasamu,...
"basi nikuache ulale kijana"
"sawa boss"
"kwani kuna ulazima uniite boss"
"ndio, mana ndio unayeniweka huku dubai"
"hapana, niite dada"
"sawa dada"
Suria alikubali kumuita sabaha dada, lakini Sabaha alikua akimchungulia kuwa suria alihisi nini baada ya Murati sabaha kuondoka... Lakini suria alikuwa wa kawaida tu...

Saa kumi na moja alfajiri, ilisikika milio ya kimapenzi tena ilikua mikali sana hapo ndani,.... Huezi amini alikuwa ni Murati sabaha akiwa na suria... Kumbe Murati sabaha naye kampenda kijana surian... Hivyo usiku wa leo, hakutaka kuchelewa... Lakini sasa surian anajua yupo na faima, lakini hapo chumbani yupo na Murati sabaha....
"faima mpenzi wangu... Nakupenda"
Aliongea suria huku kiungo chake kikiwa ndani ya mwili wa Murati sabaha, lakini yeye suria anajua yupo na faima.... Sasa hii ni dhahiri kuwa ni ndoto na wala sio kweli... Lakini sasa maimati alihisi alfajiri ya leo kuna jini mwenzie katumia nguvu za kijini, mana wakiwa hapo hawatakiwi kutumia uhalisia wao... Sasa maimati anajua muda ambao wao majini huwaingilia wanadamu kimapenzi, akajua lazima surian yupo katika hatari ya kufanya mapenzi na jini....
Na ni kweli,... Sasa maimati anakuja tena kwa kupaa, kwani alishajua kuwa kuna tatizo juu ya mtu ampendaye, lakini sasa mbaya zaidi aliokua na suria ni huyo malkia wao.. Sasa huku chumbani, murati Sabaha nae anashtuka kwa kuhisi kuna jini mwenzake anatumia nguvu za uhalisia wake,.. Wakati huo surian ndio anafika mshindo lakini Murati keshajitoa saa mingi sana katika mwili wa suria kana kwamba uchafu unaomtoka surian hautakiwi umguse jini yeyote na ndio mana mwanaume akiamka asubuhi, anakuta kajitandika bao la kisigino.. Sasa Murati anakuja kustuka anashangaa kuna jini mwenzie naye anakuja katika chumba hicho hicho... Murati akapotea na hapo hapo maimati anaingia, tena alikuja akiwa anaonekana live bila chenga.... Alimkuta surian anajikamua kumalizia utamu wake... Ndipo maimati akaamua ku...

Je? Maimati kachukua jukumu gani kwa mkuu wake, au kwa surian??










No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

https://play.google.com/store/apps/details?id=chumba.cha.wakubwa