KITUMBUA CHA KIHINDI SEHEMU YA 09 - UHONDO KITANDANI

Hot

Post Top Ad

https://play.google.com/store/apps/details?id=chumba.cha.wakubwa

Wednesday, February 5, 2020

KITUMBUA CHA KIHINDI SEHEMU YA 09







ILIPOISHIA
Magosho na Bi.Fahreen walikuwa wakiendelea kupagawishana mle ndani ya gari ya Mr. Nakeshiwar. Walijikuta wamehamia viti vya nyuma ili kuweza kuwa huru zaidi kufanya mambo yao. Magosho akiwa juu ya Bi.Fahreen aliweza kuruhusu viganja vya mikono yake kutalii kila kona hatari katika mwili wa mwanamke yule wa kihindi.
Mama yule alijikuta akipagawa kila mahali ambapo vidole vya Magosho vili pita. Kuna wakati alikuwa akitamani visihame sehemu nyingine lakini vilipohama na kugusa sehemu nyingine alijikuta akipata raha zaidi na kutamani viendelee kuwepo pale pale.
“Goso…mimi…iko taka oa veve” Bi.Fahreena alikuwa akizungumza pasipo kujielewa. Inawezekana ni kutokana na mambo aliyokuwa akioneshwa na Kijana.

ENDELEA….9
Magosho alikuwa kama vile mtu aliyepandwa na mapepo, alikuwa hasikii wala haoni. Alikuwa amekwisha sahau mateso aliyoyapata siku aliponusurika kufumaniwa na bosi wake akiwa na huyo huyo mwanamke chumbani. Waswahili wanasema sikio la kufa halisikii dawa, nadhani hata kijana Mangosho ndio hao hao.
Bi.Fahreen alipeleka mkono wake na kukamata shingo ya mjomba bubu na kuanza kumsugua taratiibu kwa uwangalifu na ufundi mkubwa. Magosho akaonekana akitulia na kusikilizia kama vile alikuwa anamwagiwa maji ya baridi mwilini.
“Aaaaiiyaaa!….omnh…ngoja!….ngoja kwanza Fahre” Magosho akajikuta akipiga kelele huku akiushika mkono wa Bi.Fahreen kujaribu kuuondoa. Hata hivyo mama yule akaonekana kuto kujali kilio kile kwani aliendelea na zoezi lake.
Magosho akashusha mkono wake hadi kwenye tumbo la mama yule ambalo kwa wakati ule halikuwa na kizuizi chochote. Akatumbukiza kidole chake cha kati kwenye kitovu cha mama yule ambacho kilikuwa kimetumbukia ndani na kuanza kukizunguusha kimduara.
“No!...Goso….No!...Hiyo…aaah….usitoe amnmh!…ooioo..,yes..uuh!” Bi.Fahreen alijikuta akikosa nguvu na kuachia shingo ya mjomba bubu.
Magosho aliteremsha mikono yake chini ya kitovu cha Bi.Fahreen na kuruhusu vidole vya mikono yake kufanya kazi ambayo yeye alitaka vifanye. Zoezi lile ndilo lililoonekana kulimaliza kabisa jimama lawatu la kihindi na kusikika likilalama.
“Oosss….Aaasss…Mnh! tamu Darling…” sauti ya Bi.Fahreen ilitoka kwa shida.
Magosho alizidi kumpa vitu mama yule aliyeonekana kushikika ipasavyo. Hakupenda kuichezea nafasi ile ambayo alikuwa akiitamani kwa muda mrefu na hakuwahi kuwa na ndoto ya kumpata mama yule wa kihindi.
Pepo la mahaba lilikuwa limnempanda vilivyo  Magosho kiasi cha kutojitambua kwa kila alichokuwa anakifanya wakati ule. Vidole vya mikono yake viliendelea kufanya kazi kwenye mwili wa mke wa bosi wake na kumfanya mama wa watu kuendelea kulalamika na kuomba msaada.
“Goso… iko…iko tosa sasa….tibia mimi bhanaa” masikini ya mungu mwanamke yule aliendelea kutoa sauti za vilio vya kuomba msaada kutoka kwa kijana wake wa kazi.
“Sawa baby” Magosho akaunguruma.
“Goso…au veve taka mimi kufe?”
“Usiwe na haraka mpenzi ntakutib…Aaaah!” Magosho alijikuta akishindwa kumalizia sentensi yake kwasababu Bi.Fahreen alipeleka mkono wake na kumvuta Mjomba bubu ghafla kulazimisha msaada.
Magosho alipojitambua aliendelea na shughuli ya kumpagawisha mama yule kwa michezo ya kibantu. Loo! Kumbe kitendo cha kumvuta mjomba bubu kilizidi kumpa midadi Magosho ya kufanya mashambulizi. Bi.Fahreen akajikuta akiwa hoi bin taaban, hajitambui wala hajielewi.
“Goso... tibia bhana…roho iko kimbia sasa”
“Nakupa mama...nakupa…amnmn…nakupa….oshssss! Magosho naye alikuwa akijilalamisha kivyake huku akiendelea kuchelewa kutoa msaada kwa mwanamke wa watu wa kihindi.
“Sasa…mbona iko chelewa veve?” masikini mwanamke yule aliendelea kulalamika. Nafikiri alikuwa katika wakati mgumu zaidi ya hata tunavyofikiria mimi na wewe msomaji wangu.
“Usihofu Fahreen, leo mimi ni wako na wewe ni wangu” Magosho naye akaungumruma. Nafikiri siku hiyo alikuwa amedhamiria kufanya mauaji ya kukusudia.
“Acha mineno mingi bhanaaa… nguvu…iko…iko…kwisaaa” alizungumza Fahreen kwataabu na kigugumizi kizito kilichosababishwa na shughuli ya Kijana wa kibantu.
Magosho akanyamaza kimya kama vile hakumsikia mke wa bosi wake alivyokuwa akilalamika kwa shida. Yeye alikuwa bize na kucheza na mwili ule adimu wa mwanamke wa kihindi. Bila ya huruma alizidi kutalii kwenye kona ambazo zilikuwa hatari zaidi na kusababisha Bi.Fahreen kuhisi karaha badala ya raha.
*****
Macho ya Zawadi yaliendelea kutarai mle chumbani mwa Ashura huku uso wake ukionekana kupendeza kwa tabasamu. Ashura akamsemesha.
“Usishangae Shoga, haya ndiyo Maisha yangu”
“Dah, hiki chumba kinanikumbusha mbali sana” alizungumza Zawadi kwa nyodo na majivuno ya hali ya juu.
“Wenyewe tumeshazoea kuishi na buibui pamoja na mijusi ndani”
“Haya sio Maisha Ashura shoga yangu jitahidi uyatoke”  alisema Zawadi kwa sauti ya kujiamini iliyokuwa imejaa kejeli na majivuno.
“Nitayatoka tu, kikubwa  ni kumuomba Mungu Shoga” Ashura akajibu kwa unyonge kwasababu aliamini wazi jambo la kuyatoka maisha yale halikuwa linawezekana kirahisi vile.
“Pamoja na kumuomba Mungu, lakini unatakiwa ujitume” Zawadi alizungumza kwa msisitizo huku akitafuna jojo.
“Shoga yangu ninajituma sana lakini maisha bado yamebana” Ashura alielza.
“Tatizo lako shoga Maisha unayanunia na ndiyomaana na yenyewe yananuna” alisema Zawadi.
“Mnh! Shoga hujaacha tu maneno yako?”
“Habari ndiyo hiyo Shoga. Maisha ukiyachekea na yenyewe yatakuchekea” alizungumza Zawadi huku akijiinua kutoka pale kwenye kitanda na kusimama mikono ikiwa kiunoni.
“Vipi mbona hivyo?”
“Tuondoke, au bado hujajiandaa?” alisema Zawadi.
“Ah! Mie nipo tayari Shoga au sija pendeza?” Ashura alizungumza huku akijitazama mara mbilimbili kutaka kusikia neno kutoka kwa shoga yake yule.
“Umetokelezea Shostito” alisema Zawadi na kutoka nje.
Ashura alipofika nje alimkuta Rafiki yake amekwisha ingia kwenye gari. Na yeye akajipakia mbele na safari ikaanza.
“Lakini Zawadi mbona hufunguki?” alizungumza Ashura gari ilipokuwa ikiendelea na safari.
“Nifunguke Manini tena shoga” alihoji Zawadi huku akikanyaga mafuta na kuzunguusha usukani kwa mbwembwe za kisistaduu.
“Umepata buzi gani linalokuhonga magari haya?” Ashura alihoji kwa umakini mkubwa.
“Wala hakuna mwanaume anayenihonga shoga”
“Sasa pesa umetoa wapi?”
“Ni kazi ya mikono yangu mama”
“Kazi gani unafanya?”
“Mambo mazuri hayataki haraka”
“Haya bwana, mdomo koma”
“Tena ukome ukomae” alizungumza Zawadi na kufanya wote wawili kuangua kicheko kisichokuwa na maana yoyote.
Macho ya Ashura yalikuwa hayatulii mle ndani ya gari. Alikuwa akilithaminisha na na kumwaga masifa kwa rafiki yake yule wa siku nyingi. Mziki mkubwa ulikuwa ukiwaburudisha walipokuwa njiani. Ashura akajiona ni mtu mwenye ngekewa ama kismati kwa kupata bahati ya kupanda gari kama lile. Siku zote alikuwa akiyaona tu barabarani yakimpita kwa mbwembwe.
Gari ile ilikwenda kufunga breki nje ya geti la jumba moja kubwa lililoonekana kuwa la thamani sana. Geti lilipofunguliwa na mlinzi Zawadi akaliingiza na kwenda kulipaki pembeni ya magari mengine yaliyoonekana kuwa ya kisasa kuliko yale aliyokuwa akiyafahamu Ashura. Zawadi akamtaka Ashura wateremke kwani walikuwa wamekwisha fika safari yao.
“Zawadi” Ashura aliita kwa sauti ndogo.
“Niambie Shosti”
“Unaishi hotelini?” Ashura alihoji huku akishangaa shangaa yale mazingira. Zawadi alicheka kidogo kabla ya kuzungumza neno lolote kujibu swali lile la rafiki yake..
“Hii sio Hotel Shost”
“Kumbe ni nini,.. Guest? Ashura alizidi kuhoji.
“Hapana, hii sio Guest wala sio Hotel”
“Sasa kumbe ni kitu gani?”
“Hii ni nyumba” alisema Zawadi wakiwa wamesimama.
“Duh nyumba ya kuishi watu kabisa!” alizungumza Ashura kwa mshangao wa hali ya juu.
“Ndio” alijibu Zawadi kwa ufupi.
“Kwakweli kuna watu wanaishi Zawadi”
“Kwanini?”
“Sisi wengine tunasukuma siku tu ziende” Ashura alizungumza kwa mshangao huku akilitupia macho jumba lile la kifahari lililokuwepo mbele ya macho yake.
“Unataka kusemaje Ashura, mbona sikuelewi”
“Sasa Zawadi mjumba wote huu kama hoteli la kifahari unasema ni nyumba ya kuishi watu?” Ashuraalieleza.
“Hivi nikikwambia hii nyumba ni yakwangu utaelewa?” Zawadi alizungumza kwa msisiytizo.
“Nini?”
“Hii ni nyumba yangu, na mimi ninaishi humu” Zawadi akaeleza.
“Wacha uzushi Zawadi mimi sio mtoto mdogo bwana” Ashura alizidi kuhamaki na kukataa kukubaliana na yale maneno ya rafiki yake.
“Huamini Ashura?”
“Kwa kweli siwezi kuamini”
“Hebu geuka nyuma” alisema Zawadi huku akitoa tabasamu. Ashura akageuka kama alivyoambiwa na rafiki yake.
* * * *
Magosho aliendelea kumpagwawisha Bi.Fahreen ambaye alionekana kuwa hoi bin taaban na kumfanya aendelee kalalamika huku akiomba huruma ya Magosho imshukie.
“Omnh!....Go…Go..Gosooo…iko..ta..iko…kwisa…ve..ve...Com…aaaa!” maneno yalipotea mdomoni kwa Bi.Fahreen.
Mwanamke yule alikuwa hajitambui wala haeleweki alichokuwa anakizungumza. Mbwembwe zote alizokuwa ameanza nazo zilimuisha. Hakujiweza tena, hata mkono hakuweza kuuinua. Macho aliyaona mazito utafikiri alikuwa amebebeshwa mifuko ya smenti kwenye kope zake, na hata sauti nayo ikakata. Mapigo yake ya moyo yalikuwa yakimuenda mbio kuliko kawaida na mwili ukaanza kumtetemeka utafikiri alikuwa amepatwa na degedege.
ITAENDELEA



No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

https://play.google.com/store/apps/details?id=chumba.cha.wakubwa