KITUMBUA CHA KIHINDI SEHEMU YA 08 - UHONDO KITANDANI

Hot

Post Top Ad

https://play.google.com/store/apps/details?id=chumba.cha.wakubwa

Wednesday, February 5, 2020

KITUMBUA CHA KIHINDI SEHEMU YA 08





ILIPOISHIA
Maneno ya kufundishwa kuendesha gari yalizidi kumchanganya Magosho. Alikumbuka kuwa siku waliyofika eneo lile maneno yalikuwa ni yale yale na mwisho wake kukatokea balaa.
“Huyu mhindi wa watu leo atanifia. Sijui nikimbie?” Magosho aliwaza.
“Vipi mbona iko kaa kimya?” alihoji Bi.Fahreen.
“Niko sawa mama” Magosho alijibu huku akisubiria tukio ambalo lingefuata. Siku ile aliambiwa aende kukaa kwenye kiti kilichokuwa na usukani lakini asiteremke bali wapishane mule mule ndani ya gari, jambo ambalo mwisho wake likazua balaa.
“Basi kuje kae huku” alizungumza Bi.Fahreen. Magosho alitaka kushuka ili aende kukaa ule upande uliokuwa na usukani ambao alikuwa amekaa Bi.Fahreen.
“No. hapana veve suka, pitie hapa hapa” alizungumza Bi. Fahreen kama alivyozungumza siku hiyo ya balaa.
“Mnh!” Magosho akajikuta akiguna. Ni wazi balaa lililotokea siku chache za nyuma lilikuwa na dalili zote za kutokea tena kwa mara nyingine siku ile.
****
ENDELEA…8
Pamoja na kwamba wezi walijitahidi kwa kadri ya uwezo wao na kufanikiwa kumrudisha nyuma Ashura kwa kumuibia, lakini binti yule hakukata tamaa hasa baada ya kupata faraja kutoka kwa kaka yake Magosho. Aliendelea na biashara ya kuuza vitumbua pamoja na kwamba biashara ya saluni ilisimama kutokana na kukosa mtaji wa kutosha. Enyi wezi popote mlipo Mungu awalaani!
Ashura akiwa amejikunyata barabarani akiuza vitumbua vyake, lilitokea gari ndogo aina ya STARLET na kusimama mbele yake. Alijiinua kwa haraka kwenda kumsikiliza akiamini kuwa alikuwa ni mteja wa vitumbua.
Mtu aliyekuwemo kwenye gari ile aliposhusha kioo Ashura akajikuta macho yakimtoka kwa mshangao. Alikuwa ni ZAWADI msichana ambaye alikuwa naye kwenye kijiwe chake cha kuuzia vitumbua siku za nyuma.
Zawadi alionekana kupendeza kuliko kawaida kiasi cha kufanya mtu aliyekuwa akimfahamu ashindwe kumgundua kwa urahisi. Zawadi yule aliyekuwa akiuza vitumbua na Ashura alikuwa ni tofauti kabisa na Zawadi huyu aliyekuja na gari siku hiyo. Walitazamana kwa sekunde kadhaa pasipo hata mmoja kati yao kuzungumza neno lolote.
“Zawadi!” alihamaki Ashura baada ya sekunde kadhaa.
“Ashura!” Zawadi naye akamuita rafiki yake.
“Ni wewe au naota?”
“Wala haupo usingizini!”
“Ni macho yangu au yana kasoro”
“Umzima wa afya tele”
“Nahisi utakuwa umeolewa na bosi Fulani hivi” Ashura alizungumza huku akimkodolea macho binti yule aliyewahi kuuza vitumbua pamoja naye.
“Kwanini unasema hivyo Ashura?”
“Wewe kapuku muuza vitumbua, hili gari ungelitoa wapi!”
“He! Shoga mjini mipango. Ukijipanga unatoka, usipojipanga unatokota” alisema Zawadi huku akitoa tabasamu. Aliingiza mkono wake kwenye pochi na kutoa noti tatu za shilingi elfu kumi kumi akamkabidhi Ashura.
“Chukua hii shoga, ngoja niwahi tutawasiliana” alisema Zawadi huku akiwasha gari yake.
“Haya shoga yangu, ila hongera sana” alisema Ashura huku akipokea ile hela aliyokuwa akipewa.
Zawadi aliondoa gari kwa mwendo wa taratibu na kumuwacha Ashura akiwa amesimama akimkodolea macho. Akawa kama vile alikuwa ndotoni kwa kile alichokuwa amekishuhudia. Akawa amezama kwenye lindi la mawazo. Binti yule amabaye hawakuachana sana umri ameweza kuwa na maendeleo ya haraka kiasi kile? Tena kamtaji kenyewe ka vitumbua kalikuwa hakajai popote.
Baada ya kujiuliza maswali mengi akapata jibu kwamba iliwezekana gari lile halikuwa lake. Lakini mtu bahili kama yule amewezaje kutuo pesa na kumuachia Ashura? Mh! Ashura hakupata jibu. Sauti ya mtu aliyekuwa akitaka kununua vitumbua ndiyo iliyomuibua kutoka kwenye lile dimbwi la mawazo.
*****
Magosho akajifanya hakusikia sauti ya Bi.Fahreen iliyokuwa ikimshauri wabadilishane siti za gari mle mle ndani pasipo kushuka. Aliteremka kwenye gari na kusimama nje ya mlango ambapo mama yule akajisogeza kwenye kiti alichokuwa amekaa Magosho kama abiria.
Magosho aliingia akakaa kwenye kiti cha dereva na punde zoezi la kufundishana kuendesha gari likaanza. Haikuwachukua shida kwasababu barabara ile haikuwa na magari mengi kiasi cha kuwaletea kero. Kwa kiasi fulani Magosho akarejewa na amani juu ya Bi.Fahreen. Akawa hana wasiwasi tena kwasababu mama yule alionekana kuwa mzima wa afya tele na hakuwa na dalili yoyote ile ya kuzimia.
Bi.Fahreen naye alionekana kuwa ni mwalimu bora kwa mwanafunzi wake. Lakini baada ya muda mfupi akaanza kufanya vituko. Ule mtandio mrefu aliokuwa amejifunga kiunoni aliutoa na kubakiwa na sketi fupi sana ambayo iliyaweka wazi mapaja yake kutokana na mpasuo wake mrefu uliokaribia kufika kiunoni. Magosho akajikuta akiguna ndani kwa ndani akihisi damu zikikimbizana mwilini mwake. Kwa kweli wacha zimkimbie tu, maana mwanamke yule wa kihindi alikuwa ameumbwa jamani! Sasa na ile nguo aliyokuwa ameivaa ndio kabisaaa.
Bi.Fahreen alimsogelea Magosho na kujifanya kuwa naye makini kwa kila hatua. Alizunguusha mkono wake wa kulia kweye mabega ya Magosho na kwenda kushika usukani. Kisha akamuinamia kiasi cha mashavu yao kugusana. Ndevu chache cha Magosho zilipomgusa Bi.Fahreen kwenye shavu lake akajikuta akipata raha fulani ambayo aliifahamu yeye mwenyewe.
Kwa upande wa Magosho nako mambo pia yalimuwia magumu. Bi.Fahreen aliupitisha mguu wake mmoja chini ya mguu wa Magosho na kwenda kukanyaga krachi ya gari. Akauchukua mkono mmoja wa Magosho na kuuweka juu ya paja lake ambalo lilikuwa wazi. Jamani mambo mengine ni kutiana majaribuni tu. Kama udereva wenyewe watu wangekuwa wanafundishana vile, sijui ingekuwaje huko barabarani.
Matendo aliyokuwa akiyafanya Bi.Fahreen yalimfanya Magosho kukumbuka vile vituko alivyokuwa akivifanya mama yule chumbani kwake siku moja alipomuita. Akakumbuka jinsi zigo la mama yule wa kihindi jinsi lilivyokuwa likitikisika na kutaka kudondoka hasa pale mama yule alipoingiza kichwa chake chini ya uvungu wa kitanda.
Magosho akajikuta mishipa yake ya damu kujaa kwa kasi na kukimbilia chini ya kitovu kiasi ya kupelekea kutengeneza uvimbe fulani ulioinua nguo yake kwa nguvu.
Bi Fahreen alipogungua kuwa damu za Magosho zilisababisha uvimbe kwenye mwili wake, alitoa tabasamu na kumtazama machoni kijana wa watu. Kwa kutumia mkono wake wa kuume aliushika ule uvimbe wa Magosho na kuanza kuuminya minya taratibu.
“Aaai! Mama!” Magosho alishituka na kuruka kwa nguvu kutokana na kitendo kile alichofanyiwa na Bi.Fahreen.
“Goso veve iko barikiwa sana” alisema Bi.Fahreen huku akiendelea kumshika shika Magosho kwenye ule uvimbe uliosababishwa na kujaa kwa damu.
Jamani Mambo mengine ni kutafutiana shida tu, pamoja na kwamba tunashauriwa sana kuwa makini na mazingira kama yale aliyokuwa amekumbana nayo Magosho, lakini vituko vile na mauzauza aliyokuwa akiletewa Magoshwa na mwanamke yule wa kihindi yalielekea kumshinda.
Pasipo kujielewa kijana Magosho alijikuta akijibu mashambulizi kwa kutumia ule mkono wake ambao Bi.Fahreen aliuweka kwenye paja. Alianza kupapasa lile paja jeupe la mama yule wa kihindi taratiibu huku akiumauma midomo yake ya chini kwa meno ya juu. Sijui ni kwanini kijana yule aliamua kufanya mambo kama yale, lakini sijui pengine ni kwasababu hakuwa anajielewa.
Kitendo kile alichokuwa amekifanya Magosho cha kuanza kujibu mashambulizi yaliyokuwa yameanzishwa na mama wa kihindi, kilizidi kumtia wazimu Bi.Fahreen kumfanya awe kama chizi freshi.
Mama yule alipeleka mdomo wake ambao ulikuwa karibu kabisa na mdomo wa Magosho kwa muda na kusababisha midomo ile miwili kukutana na kusabahiana. Baada ya Bi.Fahreen kuona dalili zote za kupata kile alichokuwa anakihitaji kwa muda mrefu, alijiinua na kusimama mbele ya Magosho.
Magosho akazunguusha mikono yake na kukamata mzigo mzito ambao ulikuwa ukimuelemea bosi wake na kumuwacha hoi kwa muda mrefu. Kwa viganja vya mikono yake akawa akilitomasatomasa zigo lile zito.
Masikini mwanamke wawatu wa kihindi akaonekana kuzidi kuchanganyikiwa na kuwa tena sio chizi bali ni mwendawazimu. Alipeleka mdomo wake kwenye sikio la Magosho na kutumbukiza ulimi wake kisha akaanza kuuzunguusha kama pangaboi.
Kwa kweli Magosho alikuwa amepatikana siku ile. Mama yule ambaye alikuwa amemzidi kiumri alikuwa akimuonesha vitu adimu kijana wa kizazi kipya.
Alichofanya Magosho ni kupeleka mikono yake juu na kukamata madafu ya mama yule na kuanza kuyachezea kwa kutumia vidole vyake vya mikono. Si haba sana, kwani hata Magosho naye hakuwa mbumbumbu mzungu wa reli kwani alijitahidi kwa kadri ya uwezo wake kudhihirisha uwenyeji katika majambozi.
“Aaaa! Goso…tar…tara…taratibu” alilalama mama yule wa kihindi huku ameukamata mkono wa Magosho akiuzuia usochomoke kifuani pake. Akili yake ilifanya kazi kwa haraka sana na kufyatua kiti kile cha gari ili kilale kiweze kuwapa nafasi ya kutosha. Mwanamke yule alikuwa amesahau kabisa kama alikuwa katika jitihada za kumnajisi mtoto wa mwanamke mwenzie.
“Oshsss!...mnh!..Goso…leo lazima veve jue endesa gali” alisema Bi.Fahreen pasipo kutambua alichokuwa anakizungumza. Ilikuwa kama vile mchezo wa kuigiza lakini ndiyo hali halisi iliyokuwemo mle ndani ya gari ya Mr. Nakeshwar.
* * *
Ashura alifanya kazi zake mapema sana siku hiyo. Alikuwa ameahidiwa na rafiki yake Zawadi kuwa angekwenda kumtembelea na kumchukua kumpeleka nyumbani kwake. Hamu kubwa ya Ashura ilikuwa ni kutaka kufahamu sabu iliyopelekea binti yule wa makamo yake kupata mafanikio ya haraka kiasi kile.
Akiwa chumbani kwake alisikia muungurumo wa gari kwa mbali. Akakurupuka na kutoka nje akitarajia kuiona ile gari ya Zawadi aina ya Stalet. Mambo yakawa tofauti kwani gari iliyokuwa ikitokea ilikuwa ni Rav 4 nyekundu. Ashura akasonya na kuingia ndani kwa kisirani.
Gari ile ilifika na kufunga breki nje ya nyumba ile aliyokuwa amepanga Ashura. Ilipiga honi mara kadhaa lakini Ashura hakutoka ingawa alikuwa akiisikia. Baada ya dakika kadhaa akasikia mlango wa chumbani kwake ukigongwa. Alijiinua kwa hasira akiamini wapangaji wenzake ndio walikuwa wakimgongea.
“He Zawadi !” Ashura akajikuta akihamaki baada ya kufungua malngo.
Kumbe aliyekuwa akigonga mlango alikuwa ni rafiki yake ambaye alikuwa akimsubiri kwa muda mrefu pale nje.
“Jamani shoga, ndiyo nini mwenzio kupiga honi halafu ukanikaushia?” alihoji Zawadi huku akiingia chumbani kwa Ashura.
“Kwani wewe ndio uliyekuja na hiyo Rav4 nyekundu?” alihoji Ashura kwa hamasa kubwa iliyokuwa imechanganyikana na mshangao.
“He! kumbe umeniona. Sasa mbona umenifanyia hivyo shoga yangu?” alihoji Zawadi huku akijiweka kwenye kitanda kidogo cha Ashura.
“Shoga nilisikia muungurumo wa gari nikatoka nje, sasa nilitegemea kuliona lile gari ulilokuja nalo siku ile, nilipoliona hilo nikanuna na kuamua kuingia ndani nikiamini kuwa sio wewe.” Ashura alijitetea kwa maelezo mafupi.
“Haya basi yameisha shoga yangu. Enhee niambie” alizungumza Zawadi huku amkimkodolea macho Ashura.
“Umependeza Shoga yangu utafikiri mtoto wa kigogo Fulani hivi” Ashura alizungumza kwa kumsifia Zawadi huku akimtazama kwa tabasamu zito lililokuwa limejaa matumaini.
“Haya Shost ahsante, lakini ni kawaida yangu kupendeza” alizungumza Zawadi kwa majivuno.
“Hongera mwaego”
“Nashukuru. Unajipya gani Shost yangu?”
“Nilitoe wapi? labda nikuchemshie chai ya rangi na vitumbua unywe” alisema Ashura.
“Akaa! Chai na vitumbua vyako kunywa mwenyewe shoga”
“Najua umeshazoea mchemsho wa kuku” Ashura alizungumza kwa utani.
“He! Umejuaje shost. Mwenzako chai ya asubuhi wala siiwezi”
“Mnh! Shoga huo mchemsho utakunywa nyumbani kwako. Ukija kwangu mwendo wa chai ya rangi na kiporo cha wali” alisema Ashura huku akicheka. Alichokuwa anakizungumza alikuwa akimaanisha, hali ya ya Maisha yake haikuruhusu kula chakula alichokuwa akikitaka Zawadi. Na kama angethubutu kuweka bajeti ya kula huo mchemsho kila siku basi kamtaji kake kote kangeyeyuka kama barafu lililokuwepo kwenye joto kali juu ya jabari.
“Usijali sana shoga. Kwanza hapa nilipo kitumbo kipo ndii!”
“Haya Hebu tuwachane na hayo Shoga” alisema Ashura huku akionekana kama vile kulikuwa na kitu alichokuwa anataka kukizungumza.
“Enhe lete jipya”
“Shoga naona jinsi mambo yako jinsi yalivyo kuwa super”
“Kwanini Shost?”
“Unabadilisha magari kama nguo! Juzi ulikuja na Stalet, leo umekuja na Rav 4, sijui kesho utakuja na nini” alisema Ashura kwa masihara.
“Ah! Ni vijimambo tu hivi Shost” alisema Zawadi huku akiangalia angalia mle chumbani mwa Ashura kama vile kulikuwa na kitu alichokuwa anakitafuta.
*****
Magosho na Bi.Fahreen walikuwa wakiendelea kupagawishana mle ndani ya gari ya Mr. Nakeshiwar. Walijikuta wamehamia viti vya nyuma ili kuweza kuwa huru zaidi kufanya mambo yao. Magosho akiwa juu ya Bi.Fahreen aliweza kuruhusu viganja vya mikono yake kutalii kila kona hatari katika mwili wa mwanamke yule wa kihindi.
Mama yule alijikuta akipagawa kila mahali ambapo vidole vya Magosho vili pita. Kuna wakati alikuwa akitamani visihame sehemu nyingine lakini vilipohama na kugusa sehemu nyingine alijikuta akipata raha zaidi na kutamani viendelee kuwepo pale pale.
“Goso…mimi…iko taka oa veve” Bi.Fahreena alikuwa akizungumza pasipo kujielewa. Inawezekana ni kutokana na mambo aliyokuwa akioneshwa na Kijana.

TUKUTANe



No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

https://play.google.com/store/apps/details?id=chumba.cha.wakubwa