KITUMBUA CHA KIHINDI SEHEMU YA 10 - UHONDO KITANDANI

Hot

Post Top Ad

https://play.google.com/store/apps/details?id=chumba.cha.wakubwa

Wednesday, February 5, 2020

KITUMBUA CHA KIHINDI SEHEMU YA 10





ILIPOISHIA
Magosho aliendelea kumpagwawisha Bi.Fahreen ambaye alionekana kuwa hoi bin taaban na kumfanya aendelee kalalamika huku akiomba huruma ya Magosho imshukie.
“Omnh!....Go…Go..Gosooo…iko..ta..iko…kwisa…ve..ve...Com…aaaa!” maneno yalipotea mdomoni kwa Bi.Fahreen.
Mwanamke yule alikuwa hajitambui wala hatambuliki alichokuwa anakizungumza. Mbwembwe zote alizokuwa ameanza nazo zilimuisha. Hakujiweza tena, hata mkono hakuweza kuuinua. Macho aliyaona mazito utafikiri alikuwa amebebeshwa mifuko ya smenti kwenye kope zake, na hata sauti nayo ikakata. Mapigo yake ya moyo yalikuwa yakimuenda mbio kuliko kawaida na mwili ukaanza kumtetemeka utafikiri alikuwa amepatwa na degedege.

ENDELEA…. 10
Lilikuwa ni shindano kabambe la mchezo wa riadha. Washindanaji walitakiwa kukimbia kwa kuzunguuka uwanja uliokuwa na mita mia moja kiasi cha mara tano. Mwisho mwa raundi moja kulikuwa na kilima ambacho mkimbiaji alipaswa kukipanda kabla ya kuanza kukimbia roundi ya pili.
Mashindano yale yaliwahusisha wakimbiaji wa pande mbili ambao walikuwa ni Bi.Fahreen na mpinzani wake alikuwa ni kijana Magosho. Walikuwa wakigombania medali ya dhahabu ambayo ilikuwa ni lazima ichukuliwe na mmoja kati yao. Hivyo kila mmoja alikuwa na hamu kubwa ya kujinyakulia medali hiyo ambyo ilikuwa na thamani kubwa.
Washindanaji wakajipanga kwenye mstari na punde tu kipenga kilipopulizwa wote wawili wakaanza kutimua mbio. Kila mmoja alionesha mbwembwe zake mapema. Hakuna aliyekubali kushindwa na mwenzie.
Loo! Bi.Fahreen akafyatuka kama mshale na kujikuta amefika kileleni ndani ya dakika tano tu. Magosho akajaribu kuongeza mbio lakini wapi hakufanikiwa kumfikia mama yule wa kihindi.
Magosho akiwa na matumaini ya kumfikia mpinzani wake, akashangaa Bi.Fahreen akimpita kama mshale kutokea nyuma yake. Mama yule wa kihindi alikuwa anakwenda utafikiri amekula miguu ya mbuni. Alifika kileleni kwa mara nyingine wakati Magosho hakuwa na hata dalili ya kuukaribia mlima ule pamoja na jitihada zake zote.
Kijana alionekana kuvamia fani ile ya riadha kwani aliendelea kusua sua njiani wakati Bi.Fahreen akijitwalia pointi mara kadhaa. Hata hivyo kijana Magosho hakukata tamaa ingawa alikuwa akihemea juu juu kwani aliendelea kukimbia hadi kufanikiwa kufika kileleni angalau mara moja tu.
Mshindi aliyetwaa medali ya dhahabu alikuwa ni Bi.Fahreen kwasababu aliweza kufika kwenye kilele cha mlima ule mara tano, wakati mpinzani wake yeye alifika kileleni mara moja tu. Hata hivyo wote wawili walikuwa wamechoka vilivyo na kujikuta wamelala mithili ya wahanga wa mafuriko au wa kimbunga Katrina.
Magosho alikuwa wa kwanza kupata ahuweni kutoka kwenye ule uchovu, aliinua shingo yake na kumchungulia Bi fahreen usoni. Mama wa watu alikuwa amechoka utafikiri ametoka kufanya kazi ya kuhamisha milima ya Uruguru kwenda Usambara. Alikuwa amelala huku amefumba macho utafikiri amekata Kamba. Magosho akamshika kwenye mashavu mwanamke yule na kumpiga busu usoni ambalo lilimfanya mama wa kihindi kufumbua macho.
“Mama” aliita Magosho kwa sauti iliyo kwaruza.
“Nani iko mama yako?” alihoji Bi.Fahreen kwa sauti iliyotoka kwa shida.
“Si wewe jamani”
“Mimi hapana iko mama yako” alizungumza Bi.Fahreen kwa ile sauti yake ya kujilazimisha.
“Kumbe we nani?” Magosho alihoji kwa sauti nzito
“Ita mimi penzi bhanaaa.” Bi. Fahreen naye akazungumza kwa sauti ya kujilazimisha.
“Basi baby usijali” alisema Magosho na kumpiga busu la mdomo Bi.Fahreen.
“Mambo iko ivo toto zuri. Kama taka mimi chukie veve ita mimi mama” alisema Bi.Fahreen huku akimkumbatia Magosho kwanguvu. Magosho naye akamkumbatia mwanamke yule kama vile alivyofanya yeye. Yani kama ungepata bahati ya kuwaona ungefikiri wawili wale walikuwa wanalingana umri.
Pamoja na kwamba Bi. Fahreen ndiye aliyekuwa akifanya uchokozi katika kuhakikisha amemnasa Magosho, lakini kijana naye alionekana kufurahia mchezo ule pengine nafikiri ni kwasababu ya kupewa vitu adimu vyenye mahadhi ya Kuchi kuchi Hotahe. Ndugu msomaji, Magosho alitegwa akategeka na kuingia mzima mzima katika himaya ya mwanamke yule wa kihindi.
“Vipi lakini Baby?” Magosho alihoji baada ya kuachiana na mwanamke yule.
“Tangu mimi zaliwe hapana pata kitu kama veve nipa leo” alisema Bi.Fahreen kwa furaha na kujidai.
“Mnh! Lakini hata wewe unaweza. Kumbe Nakeshiwar anafaidi kiasi hiki!” alisema Magosho na kuishika pua nyembamba ya Bi. Fahreen na kuivuta kidogo kimahaba.
“Hapana taja Nakeshi hapa bhana. Mimi lazima oa veve” alizungumza Bi. Fahreen kwa furaha kubwa.
“Wacha masihara Fahreen. Wewe si una mume wako?”
“Mume nini bhanaa, Kama veve iko nipa mimi raha hakuna bhaya!”
“Basi mtoto mzuri nitafanya unachopenda” alisema Magosho huku mkono wake ukiwa kwenye zigo la mama yule ukilipigapiga na kulitomasa tomasa kwa kiganja cha ule mkono wake.
“Kama iko sikia hamu, hapana sita ambia mimi” alisema Fahreen.
“Mnh!” Magosho akaguna.
“Kama veve iko furahisa Fahreen, basi No problem ongezea sahara kila mezi” alisema Bi.Fahreen kwa msisitizo mkubwa.
“Dah! Nitafurahisana mpenzi kama kweli” Magosho lizungumza kwa furaha aliposikia kuwa ataongezewa mshahara. Yaani raha apewe halafu na mshahara pia aongezewe? Mnh! Haya bwana sisi yetu macho mana hakuna ajuae ya mbeleni. Au sio ndugu msomaji?
“Hapana hiyo tu Goso. Mimi taka jengea nyumba veve, nunulia gari, halafu fungulia Business” alisema Bi.Fahreen akionekana wazi kufurahishwa na ile starehe aliyopewa na mtoto wa kibantu, kijana wa marehemu mama Ashura.
Magosho akahisi kama vile alikuwa ndotoni. Hakuyaamini yale maneno ya Bi.Fahreen yalikuwa yakitoka moyoni mwake. Alitamani sana ahadi ile itimie ndani ya dakika zile zile. Akajikuta akizidi kuvutiwa na penzi la mama yule wa kihindi ambaye alikuwa ni mke wa bosi wake.
* * * *
Ashura baada ya kugeuka nyumba, macho yake yalitua kwenye Starlet moja ambayo alimuona nayo Zawadi kwa mara ya kwanza kule kwenye kijiwe cha kuuzia vitumbua. Akajaribu kuangaza pengine angeona kitu ambacho kingekuwa ni uthibitisho tosha kuwa ile ilikuwa ni nyumba yake lakini hakuona chochone. Aligeuza macho na kumtazama rafiki yake.
“Kama sikosei unakusudia ile gari?” Ashura akahoji.
“Swadakta! unaikumbuka gari ile?” Zawadi alihoji
“Inafanana na ile niliyokuona nayo kwa mara ya kwanza”
“Sio ina fanana, ndiyo yenyewe”
“Kwahiyo unataka kusemaje?”
“Inatosha kuwa uthibitisho kwamba hapa ni nyumbani kwangu”
“Kwa upande wako inatosha, lakini kwa upande wangu bado ni kigugumizi” Ashura alizungumza.
“Kwani ulitegemea kuniona Zawadi mimi naendeha gari?” Zawadi akahoji.
“Kwakweli ni muujiza”
“Basi hata hii nyumba kuwa yangu na iwe muujiza”
“Mhn! basi hongera mwaya maisha ndo umesha yaweza hivyo” Ashura akazungumza kwa shingo upande huku akiamini shoga yake alikuwa anamuongopea.
“Ah kawaida, sio kazi saana kama unavyo fikiri” Zawadi alizungumza na kumshika mkono Ashura.
Walivuta hatua kuelekea kwenye mlango wa ile nyumba kubwa. Ashura alikuwa makini kuangaza pande mabali mbali kukagua mazingira ya nyumbani pale. Kiukweli ndugu msomaji mazingira yale hayakuwa ya kitoto ukizingatia hali halisi ya mazingira aliyokuwa akiishi Ashura, hakuwa na ujanja wa kujizuia kushangaa.
Walipofika mlangoni Zawadi alitoa kadi kama ya ATM na kuipitisha kwenye kitasa cha mlango ule ambao ulijifungua wenyewe. Ashura alizidi kupata mshangao. Mwenyewe alikuwa amezoea kuona na kutumia yale makufuli ya Athumani mfupi kasimama malangoni. Hakuwahi kuwaza wala kufikiri kama kulikuwa na milango iliyokuwa ikifunguliwa na kadi.
Walifika kwenye sebule moja iliyokuwa pana kiasi cha kuingiza hewa na mwanga wa kutosha. Samani za gharama zilikuwa zimejaa na kuifanya sebule ile kupendeza na kuvutia mno.
“Karibu shosti jisikie upo kwako” Zawadi alizungumza huku akimuonesha Ashura mahali pa kuketi. Ashura alibakia amesimama akitafakari maisha ya rafiki yake yule yalivyokuwa ya maajabu. Akajaribu kumkumbuka Zawadi yule waliyekuwa wakiuza wote vitumbua kule uswahilini na kumfananisha na Zawadi wa leo aliyekuwa anafungua loki za milango kwa kutumia kadi kama za benki.
"Vipi Shost mbona hukai?" Zawadi alihoji baada ya kumuona rafiki yake kama vile amekauka kwa kupigwa na shoti ya umeme. Ashura baada ya kusisitizwa na rafiki yake aliketi kwenye sofa moja la gharama ambalo hakuwahi kufikiria kama angewahi kulikalia maishani mwake.
"Dakika moja tafadhari" Alisema Zawadi na kuelekea kwenye korido moja ndefu ambayo ilimfikisha hadi kwenye mlango wa chumbani.
Baada ya sekunde kadhaa Ashura akasikia sauti ya Zawadi ikimuita kutokea kule kwenye korido. Akajiinua na kuelekea kule sauti ilipotokea.
"Shoga uko wapi?" Ashura alipaza sauti baada ya kuona milango ikimchanganya na kushindwa kuelewa rafiki yake alikuwa chumba kipi. Mlango wa chumba kimoja ulifunguliwa na zawadi akachunguli.
"Niko huku Shosti wangu" Alisema Zawadi
"Ka! shoga milango inachanganya"
"Kwasababu ni mgeni tu shoga ndiomaana unaona hivyo. Karibu ndani"
Ashura aliingia chumbani mle na kujikuta katika hali ya mshangao zaidi baada ya kuona mazingira ya chumbani mle jinsi yalivyokuwa yamejitosheleza. Ilimjaa zaidi hamu ya kutaka kufahamu jinsi ambavyo rafiki yake yule alivyoyapatia maisha yale.
"Shoga hebu nipe siri ya mafanikio yako" Ashura alihoji mara tu baada ya kuketi kitandani.
"Sio siri, ni KITUMBUA” Zawadi alizungumza huku akimimina wiski kwenye birauli.
"Kitumbua?" Ashura akahoji kwa mshangao.
"Ndio kitumbua, tena kitumbua cha kihindi"
"Unamaanisha nini?"
"Una maswali mingi kwani we ni polisi? hebu karibu kinywaji" Zawadi alizungumza huku akimkabidhi Ashura birauli ile iliyokuwa imejaa wisk.
TUENDELEE



No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

https://play.google.com/store/apps/details?id=chumba.cha.wakubwa