JE HAYA NI MAPENZI!! 37: - UHONDO KITANDANI

Hot

Post Top Ad

https://play.google.com/store/apps/details?id=chumba.cha.wakubwa

Monday, February 17, 2020

JE HAYA NI MAPENZI!! 37:





Jeff alimkabidhi Sabrina ile juisi kwa furaha.
Sabrina naye aliipokea na kuinywa, muda huo
huo Sabrina alijikuta akikaa kwenye kochi na
kulala pale pale.
Jeff akamuangalia Sabrina pale alipojilaza na kutabasamu.
Akainama ili kumbeba ila moyo wake ukasita kidogo na kuona kuwa anafanya makosa.
Aliulaumu sana moyo wake wa matamanio ila bado hakuweza kupingana na matamanio yake.
Alimnyanyua na kumbeba mpaka kwenye chumba chake na kumlaza kitandani.

Wakati yupo chumbani kwa Sabrina tena kabla hajafanya chochote alisikia mtu akibisha hodi, hofu ikamjaa Jeff ila aliamua kutumia akili ya haraka sana.
Alitoka chumbani kwa Sabrina na kufunga mlango kwa funguo kisha akaenda kufungua mlango, ila kabla hajafungua akakumbuka vitu vya Sabrina kama mkoba, simu na viatu vipo pale sebleni.
Akbmua kuvichukua na kwenda kuviweka chumbani kwake, kisha akaenda kufungua mlango.
Mgongaji alikuwa ni Sam, ambapo alipofunguliwa tu alipitiliza ndani moja kwa moja na kumuuliza Jeff,
"Mbona umekawia sana kunifungulia mlango?"
Huku Jeff akifikichafikicha macho akamjibu Sam,
"Nilikuwa nimelala bamdogo"
"Khee leo ndio umeamua kuniita hivyo?"
"Mamdogo kasema, kuanzia leo wewe nikuite bamdogo"
Sam akatabasamu na kumuulizia Sabrina,
"Eeh yuko wapi sasa mamako mdogo?"
"Katoka"
"Kaenda wapi?"
"Kasema anaenda kulala kwa bibi"
"Yani kaondoka usiku huu!! Mbona hatukukubaliana hivyo? Huyu Sabrina jamani mbona anataka kunipa matatizo!"
Sam akaondoka akiwa amechukia kabisa hata kumuaga Jeff hakutaka.

Jeff akafurahi na kufunga mlango baada ya kuona kuwa amemuweza Sam kwa uongo aliomwambia.
Akarudi chumbani kwa Sabrina na kumkuta Sabrina akiwa bado hajitambui.
Sam alianza kumpapasa Sabrina na kumtoa nguo taratibu, kisha akajikuta amemuingilia kimwili Sabrina, na kuhamia kwenye ulimwengu mwingine kabisa hata akasahau kuwa Sabrina alikuwa hajitambui.

Alipomaliza alishangaa kuona damu kitandani na kumfanya ashtuke na kujiuliza,
"Mungu wangu, inamaana nimemuingilia akiwa kwenye siku zake?"
Jeff akajaribu kumkagua Sabrina na kujiuliza tena,
"Au mimi ndiye mwanaume wa kwanza kumuingilia kimwili?"
Akakaa chini na kushika tama huku akisema,
"Nimeutoa usichana wake, ndiomana nilikuwa napata shida kuingiza! Jamani mimi sijui kwanini nimemfanyia hivi mamy wangu, ila yote sababu nampenda sana na kumwambia nilikuwa siwezi. Sijui akishtuka itakuwaje"
Jeff alijikuta akinyong'onyea gafla kwani moyo wake ulimsuta kwa kile kitendo alichokifanya kwa Sabrina na kumfanya atoke mule chumbani kwa Sabrina huku moyo wa aibu na huruma ya kumuhurumia Sabrina ukimjaa.

Jeff akiwa chumbani kwake, akajaribu kutafuta usingizi ila hakupata usingizi ingawa alisharidhika na moyo wake kwa alichomfanyia Sabrina na kuhisi kuwa anastahili kutenda alichokitenda lakini bado kupata usingizi ilikuwa ni shida, na mwisho wa siku akaamua kurudi chumbani kwa Sabrina na kulala nae karibu yake ili ajue hali ya  Sabrina itakavyoendelea.
Jeff alimuwekea Sabrina mkono kifuani na usingizi ukampitia pale pale.

Sam alipotoka nyumbani kwa Sabrina, moja kwa moja akaamua kwenda kwao na wakina Sabrina ili kumuulizia kama Sabrina amefika kwao.
Alipofika aligonga mlango kwa muda kidogo kisha mama wa Sabrina akatoka na kumfungulia.
"Mbona usiku sana mwanangu? Vipi kuna tatizo gani?"
"Samahani mama, nimekuja kuulizia kama Sabrina kashafika huku"
"Sabrina!! Mbona huku ameondoka muda mrefu tu na wala hajaja tena, alisema atakuja kesho"
Sam akapumua kidogo na kuhisi kama vile haelewi haelewi kwavile hata akipiga simu ya Sabrina ilikuwa inaita tu bila ya kupokelewa.
Sam hakuwa na la kufanya wala la kuzidi kumwambia mama wa Sabrina badala yake aliaga na kuondoka zake huku akipanga kwenda asubuhi na mapema kwa Sabrina ili ajue alipoenda na kwanini alienda usiku ule.
Sam aliondoka huku mawazo yakitawala kichwa chake na  kumkosesha raha ya maisha kabisa.

Sam alirudi kwake na kulala ila usingizi ulimjia kwa shida sana, kulipopambazuka tu akafunga safari hadi nyumbani kwa Sabrina ili kumuangalia kama tayari amerajea.
Ila alipofika kwa Sabrina, aligonga sana mlango wa nyumba ya Sabrina bila ya kufunguliwa na kumfanya Sam ajiulize,
"Au na kile kitoto nacho kimetoka? Mbona hawafungui mlango hawa?"
Aliendelea kugonga ila hakufunguliwa na kumfanya akate tamaa, kisha akaenda kukaa kwenye gari lake na kumngoja Sabrina pale nje.
Ila alikaa muda mrefu sana bila ya kumuona Sabrina wala Jeff.

Sabrina alishtuka na kuhisi macho mazito sana hata hayakutaka kufunguka, kichwa nacho kilikuwa kizito sana kama mtu aliyelewa sana usiku wa jana yake na kushindwa hata kuinuka ila pembeni yake akamuona mtu amelala na kumfanya ashtuke kuwa mtu yule ni nani na anatafuta nini kwenye chumba chake.
Sabrina akamuangalia vizuri na kugundua kuwa yule ni Jeff, na alipouona mkono wa Jeff upo juu ya kifua chake aakashtuka sana na kuutoa kwa nguvu kisha akakaa na kumfanya naye Jeff ashtuke toka kwenye usingizi aliokuwa nao.
Sabrina alimuangalia Jeff kwa hasira sana na kumuuliza kwa ukali,
"Unafanya nini chumbani kwangu?"
Jeff naye alimuangalia Sabrina bila ya kumjibu chochote, kisha Sabrina akamwambia Jeff kwa ukali,
"Toka chumbani kwangu mwehu wewe"
Jeff akainuka na kutoka chumbani kwa Sabrina.

Sabrina akajaribu kuinuka pale kitandani, akajihisi maumivu kwenye sehemu zake za siri na kumfanya ajiangalie vizuri,
"Mungu wangu, huyu mtoto kanibaka nini?"
Sabrina akatoka chumbani kwake hadi sebleni na kumuita Jeff, ambapo Jeff naye akaenda alipoitwa
"Umenifanya nini wewe mtoto, umenifanya nini mimi?"
"Nisamehe mapenzi"
"Nini!! Mbwa mkubwa wewe nani mpenzi wako?"
Sabrina akamvamia Jeff na kuanza kumpiga hovyo hovyo ila kwavile kichwa cha Sabrina bado kiliku wa kizito, akashindwa kusimama vizuri wakati wa kumpiga Jeff na kujikuta akianguka chini.
Jeff naye akainama kumuinua,
"Niache huko shetani mkubwa wewe"
Sabrina alikuwa na hasira sana juu ya Jeff na kumfanya atamani kumrushia chochote kile kilichokuwa mbele yake, Jeff kuona vile akaamua kwenda chumbani kwake ili kuepusha shari.

Sabrina alijikongoja hadi chumbani kwake na kwenda kuoga huku moyo wake ukiwa na maumivu makubwa sana, alitamani hata achimbe shimo ajifukie.
Alirudi kitandani kwake, na kugundua kuwa hata shuka alilokuwa amelitandika jana lilikuwa limetolewa, alipolichukua na kuangalia akaiona ile alama ya damu na kumfanya aumie zaidi na machozi kumtoka,
"Hivi ni kweli au naota mie Sabrina jamani? Mungu jamani nisaidie hii iwe ni ndoto tu jamani, kwanini mimi Jeff kanifanyia hivi jamani? Kumpenda kote huku, kumjali kote hajakuona hadi kuchukua uamuzi wa kunibaka jamani mimi! Nitaificha wapi sura yangu hii kwa aibu. Ni nani atanielewa katika hii dunia? Mtoto niliyemlea mwenyewe, niliyempa chochote alichokitaka eti leo kanibaka jamani mmh!!"
Sabrina alikosa raha kabisa na amani ya moyo, akachukua nguo zake na kuvaa.
Akatafuta mkoba wake ila hakuuona kabisa,
"Hili hili shetani litakuwa linajua mkoba wangu ulipo, hata sijui lilinipa kitu gani jamani hadi kutojua kama ananiingilia kimwili"
Sabrina hakuwa na raha kabisa.

Wakati anawaza mule chumbani kwake akasikia mtu akibisha hodi kwenye ile nyumba yake.
Sabrina akainuka na kwenda kufungua mlango, akakutana na Jeff sebleni akiwa ameshika mkoba wa Sabrina na viatu vyake na kumfanya Sabrina achukie zaidi.
Sabrina akasogea pale alipo Jeff na kumwambia,
"Haya weka vitu vyangu na upotee kwenye nyumba yangu, sitaki kukuona Jeff sitaki kabisa."
Jeff alisimama pale kama mtu aliyeganda na kumfanya Sabrina hasira zimzidie, akaamua kuchukua vile vitu na kutaka kumvuta Jeff ili amtoe mule ndani,
"Usihangaike kunivuta acha tu nitoke mwenyewe"
"Ndio toka shetani wewe"
Sabrina akafungua mlango ili Jeff atoke na kusahau kabisa kama kuna mtu alikuwa akigonga mlango.
Akamkuta Sam akiwa pale mlangoni huku akimshangaa Sabrina alivyovimba kwa hasira, Jeff naye akatoka tena bila hata ya kumsalimia Sam na kuondoka.
"Tena usirudi hapa kwangu mbwa mkubwa wewe"
Sam akamshika mkono Sabrina ili kumtuliza kwa ile hasira aliyokuwa nayo.
Alipoingia naye ndani walikaa ili kuzungumza,
"Kwani nini tatizo Sabrina mpenzi? Leo umemfukuza kizindiko chako hata siamini"
Sabrina aliinama na kuanza kulia, tena alilia kwa uchungu sana.
Sam alijitahidi kumbembeleza ila ilishindikana kwavile Sabrina alikuwa analia tu na mwisho wa siku Sabrina akamuomba Sam aondoke kwani uwepo wake ndio unaomzidishia uchungu.
Sam hakupinga na kuondoka zake kisha Sabrina akabaki mwenyewe ndani.

Sabrina alikuwa akivuta matukio toka muda alipokuwa na Sam hadi aliporudi nyumbani kwake.
Akili yake ikamwambia kuwa kuna kitu Jeff alimuwekea kwenye ile juisi aliyokunywa kwani tangia hapo hakukumbuka kilichoendelea hadi palipokucha.
Kilichomuuma zaidi ni pale alipokumbuka kuwa Sam alimuomba kuwa wakalale nyumbani kwake ila yeye aligoma kwa kuhofia muda bado, akatamani masaa yarudi nyuma ili amkubalie Sam na kuepukana na ile adha iliyompata kwani ilikuwa ni aibu kubwa sana mbele yake na mbele ya moyo wake.
"Kwanini mimi jamani, kwanini mimi! Bora hata ningelala na Sam kuliko Jeff jamani, aibu gani hii?"
Sabrina alikuwa kama mtu aliyechanganyikiwa kabisa kwani muda wote alikuwa akiongea mwenyewe tu.

Sam alipotoka kwa Sabrina, moja kwa moja alienda kwa mama yake na Sabrina ili kumpa habari ili aweze kwenda kumbembeleza mtoto wake kwani alihisi itakuwa vyema kama Sabrina akimueleza tatizo lake mama yake.
Joy alishangaa sana baada ya kupewa taarifa ya mtoto wake kuwa analia tu.
"Amepatwa na nini Sabrina mwanangu jamani!"
"Hata mimi mwenyewe sijui ndiomana nimekuita wewe, jana nilimrudisha vizuri tu na tuliongea mengi mazuri, hata mi nashangaa kuwa leo imekuwaje"
"Jamani, na mimi hapa nilipanga nae vizuri sana, nikakubaliana nae kuwa leo aje amuone wifi yake. Nimeshangaa hajafika mpaka muda huu kumbe mwanangu kapatwa na mengine huko"
Sam akamsubiri mama Sabrina ajiandae kisha akaondoka naye na kumpeleka hadi nyumbani kwa Sabrina.
Walipofika, Sabrina aliwafungulia mlango.
Ilibidi Sam aondoke na kumuacha Sabrina na mama yake ili wapate kuzungumza.

Joy akamkumbatia mwanae na kumuuliza kwa upole kabisa,
"Kwanza umekula mwanangu?"
Sabrina akatikisa kichwa kuashiria kuwa bado hajala.
"Jamani mwanangu mpaka saa kumi hii hujala?"
"Sijisikii kula mama, sijisikii kabisa"
"Hata chai jamani mwanangu?"
Sabrina alitikisa kichwa  kuashiria kuwa hata hiyo chai haitaki.
Ikabidi Joy atumie uzoefu wa kimama kumbembeleza mtoto wake, na mwisho wa siku akaenda kumkorogea chai na kumpelekea anywe.
"Kunywa kikombe hiki kimoja tu ili tuzungumze vizuri mwanangu"
Sabrina alichukua kile kikombe na kunywa kidogo kisha akatulia kwanza.
"Mwanangu, niambie, nini tatizo? Tafadhari usinifiche mwanangu, kumbuka mimi ni mama yako wa pekee"
"Aibu kusema mama"
"Usinionee aibu mimi mwanangu, mimi ndio msiri wako. Niambie mimi tafadhari mwanangu"
Sabrina akafikiria kidogo, akawaza jinsi mama yake atakavyomuona kuwa ni mpumbavu kwa kulala na mtoto mdogo kama Jeff, mtoto ambaye amempita takribani miaka kumi, na licha ya hivyo ni mtoto ambaye amelea kama mtoto wake, leo aseme amembaka ni nani atakayemuelewa? Sabrina akajikuta akigubikwa na aibu kubwa sana na kushindwa kumwambia mama yake ukweli.
Ila Joy aliendelea kumbembeleza mwanae ili amwambie ukweli wa    mambo yote.
"Mama, nikikwambia hutanifikiria vibaya kweli?"
"Usijali hilo mwanangu, ni bora uniambie mimi mama yako kuliko mtu mwingine yoyote"
Sabrina akapumua kidogo ili kujaribu kumwambia mama yake,
"Ilikuwa hivi mama......."
Kabla hajaendelea, simu ya Joy ikaita na kumfanya aitoe.
"Halafu ni bosi wako Sam anapiga sijui kuna nini!"
Joy akapokea ile simu na kuongea kwa mshangao na kumfanya Sabrina atamani kujua jambo ambalo Sam alikuwa akimwambia mama yake, simu ilipokatika tu Joy akapumua kwa nguvu sana halafu Sabrina naye akamuuliza,
"Kwani kuna nini mama?"
"Eti Jeff kapata ajali"
"Jeff!! Mungu wangu, Jeff kweli mama?"
"Ndio, Sam kasema Jeff kapata ajali na hali yake ni mbaya sana"
Sabrina alijikuta akipatwa na mshtuko wa gafla na kuanguka.

Itaendelea



No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

https://play.google.com/store/apps/details?id=chumba.cha.wakubwa