Ukiruhusu watu wa pembeni wawe ni wasemaji wa ndoa yako au mahusiano yako utakuwa umeruhusu watu wa pembeni wawe ni mahakimu wa ndoa au mahusiano yako uliyonayo,,kuwa makini na ndoa yako na kuwa makini na mahusiano yako,,ndoa na mahusiano yako yanakuhusu wewe na uliyenaye,,hao wengine acha wawe mashabiki tu.
Ukiruhusu watu wa pembeni wawe ni wasemaji wa ndoa yako au mahusiano yako utakuwa umeruhusu watu wa pembeni wawe ni mahakimu wa ndoa au mahusiano yako uliyonayo,,kuwa makini na ndoa yako na kuwa makini na mahusiano yako,,ndoa na mahusiano yako yanakuhusu wewe na uliyenaye,,hao wengine acha wawe mashabiki tu.
No comments:
Post a Comment