Mwanaume na damu ya hedhi - UHONDO KITANDANI

Hot

Post Top Ad

Wednesday, May 1, 2019

Mwanaume na damu ya hedhi

20190326_124716


1522669709-7214-beautiful-kenyan-women7

Naombeni kujua ukweli kuhusu hili , nakumbuka mama aliniambia nichunge Sana kumuudhi mwanamke kwani anayo sumu Atari inayo ua pole pole(damu ya hedhi) ila Hadi Leo hii kitu sijaielewa kabisa naombeni maoni yenu kwa wataalamu wa haya maswala.je, nikweli mwanaume akilishwa damu ya hedhi anakufa?

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad