HAKUNA KITU KIZURI KAMA KUFURAHIA MAISHA NA MTU MLIYEPAMBANA NAE KUFIKIA MALENGO - UHONDO KITANDANI

Hot

Post Top Ad

https://play.google.com/store/apps/details?id=chumba.cha.wakubwa

Friday, May 24, 2019

HAKUNA KITU KIZURI KAMA KUFURAHIA MAISHA NA MTU MLIYEPAMBANA NAE KUFIKIA MALENGO


Wanawake kuweni wavumilivu pale unapoona mwenza wako ana hali mbaya kimaisha,,kwasababu kama anakupenda kweli in lazima atapambana ili akufanye usijutie uamuzi wako wa kumpenda mtu mwenye hali kama yake,,usimdharau mtu ambaye hana kitu leo lakini ana maono makubwa kimaisha.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

https://play.google.com/store/apps/details?id=chumba.cha.wakubwa