Vitu Nane vya Kipumbavu Ambavyo Wadada Hufanya Kwenye Mapenzi - UHONDO KITANDANI

Hot

Post Top Ad

https://play.google.com/store/apps/details?id=chumba.cha.wakubwa

Sunday, February 2, 2020

Vitu Nane vya Kipumbavu Ambavyo Wadada Hufanya Kwenye Mapenzi





1.Kuishi na mwanaume ambaye ajakutolea mahari au kukuoa. Hii inachoma lakini ndio ukweli wenyewe. Usiwe mjinga.

2. Kukubali kuwa mchepuko

3. Kuvaa pete ya uchumba ya mwanaume ambaye even hata kwenu hapajui. Na pengine hata wazazi wako hawajui.

4. Kutumia picha ya boyfriend wako kama profile picture wakati yeye hana hata wazo la kufanya hivyo.

5. Kumpa thamani yako PRIDE (Bikira), mwanaume ambaye hajatoa posa au mahari kwenu.

6. Kupika chakula mara kwa mara na kufua nguo kuonyesha upendo kwa boyfriend wako ambaye sii mume wako.

7. Kutokumuheshimu mzazi wako kwa sababu tu ya kumpata mwanaume ambaye hata wazazi wako hawamjui.

8. Kumpa mwanaume sex kirahisi tu kwa sababu amekuambia anakupenda na atakuoa.

JITAMBUE!!!!




No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

https://play.google.com/store/apps/details?id=chumba.cha.wakubwa