NAMNA YA KUMSISIMUA MWANAMKE KUPITIA KIFUA CHAKE! - UHONDO KITANDANI

Hot

Post Top Ad

https://play.google.com/store/apps/details?id=chumba.cha.wakubwa

Sunday, February 16, 2020

NAMNA YA KUMSISIMUA MWANAMKE KUPITIA KIFUA CHAKE!





Matiti ya mwanamke ni sehemu ambayo inabeba hisia nyingi za mwanamke, ingawa si kila mwanamke husisimkwa akishikwa matiti lakini wengi na hasa wa kishikwa vizuri huchanganyikiwa. Sasa wanaume wengi wanakosea katika kuifanya shughuli hii na wakati mwingine kuifanya kuboa, unatakiwa kujua kuwa pamoja na matiti kuwa na utamu kwa mwanamke lakini ndiyo sehemu pekee ambayo wanawake huiangalia kwa umakini sana kwani hawataki iharibike.

Kwa maana kuwa ukimshika mwanamke matiti vibaya unamkata sitimu zote na tendo la nddoa linaweza kuishia hapo. Kuna ambao hawataki kushikwa kabisa, hivyo usikurupuke tu kwakua ulishakua na mwanamke ambaye akishikwa huku anachanganyikiwa ukadhani kila mwanamke anapenda. Kwakukusaidia tu ngoja nikupe vidokezo muhimu juu ya namna ya kuchezea sehemu hii muhimu na kuifanya isiboe. (1) Kila mwanamke ni tofauti, kila mmoja ana namna yake ya kushikwa; Hiki ndiyo kitu cha kwanza mwanaume unatakiwa kukijua, kuna wanawake wanapenda kushikwa taratibu, kuchezewa kwenye chuchu tu na si sisit zima, kuna wengine hisia zao zipo mwanzo kabisa wa ti9ti na wengine wanataka utumie nguvu kidogo na hata kulishika titi zima. Kuna wanaopenda kuchezea na ulimi na wanaopenda kung’atwa ng’atywa kimtindo, hivyo mjue mwanamke wako, kama ni mara ya kwanza jaribu staili tofauti na angalia inayomsisimua zaidi. (2) Anza taratibu na usilinyakue titi; Acha kufanya kama umerushiwa kitu unakikamata na mikono miwili ili kisidondoke. Hapana kuwa mstaarabu kifuani. Tumia vidole kufanya masaji sehemu ya titi linapoanzia, kua kama unasugua kwa kupaka mafuta, kidole gumba kitumie mwanzo kabisa wa titi lenyewe na si katikati, lakini taratibu chezea chuchu zake vizuri tu na si kukimbilia kusugua au kubonyeza kana kwamba unangalia maebe kuwa yameiva, hpana utakua unamuumiza, bonyeza lakini kwa namna ambayo haileti maumivu, usiwe na pupa kwa kudhani kua ukitumia nguvu kubwa ndiyo anasisimkwa zaidi.






No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

https://play.google.com/store/apps/details?id=chumba.cha.wakubwa