Wema Sepetu ametangaza mwenyewe mitaani na mitandaoni kwamba aliwahi kutoa mimba mbili za Marehemu Kanumba , kwamba " alivinyongelea " mbali vitoto vya Kanumba ( bado haijafahamika sababu ya kufanya unyama huo )
Bali kinachofahamika ni kwamba Nchini Tanzania ni kosa kisheria kutoa mimba , na yuko daktari wa Hospitali ya meno ya Sinza ambaye amepewa kesi ya utakatishaji pesa tsh laki 2 na elfu sitini kwa tuhuma za utoaji mimba .
Kwanini Wema Sepetu aliyekiri mwenyewe hadharani kuchoropoa mimba mbili za Kanumba asikamatwe na kushitakiwa ?
No comments:
Post a Comment