Kama kutoa Mimba Ni kosa nchini Tanzania basi wema sepetu Akamatwe - UHONDO KITANDANI

Hot

Post Top Ad

https://play.google.com/store/apps/details?id=chumba.cha.wakubwa

Saturday, February 8, 2020

Kama kutoa Mimba Ni kosa nchini Tanzania basi wema sepetu Akamatwe

Wema Sepetu ametangaza mwenyewe mitaani na mitandaoni kwamba aliwahi kutoa mimba mbili za Marehemu Kanumba , kwamba " alivinyongelea " mbali vitoto vya Kanumba ( bado haijafahamika sababu ya kufanya unyama huo )
Bali kinachofahamika ni kwamba Nchini Tanzania ni kosa kisheria kutoa mimba , na yuko daktari wa Hospitali ya meno ya Sinza ambaye amepewa kesi ya utakatishaji pesa tsh laki 2 na elfu sitini kwa tuhuma za utoaji mimba .

Kwanini Wema Sepetu aliyekiri mwenyewe hadharani kuchoropoa mimba mbili za Kanumba asikamatwe na kushitakiwa ?




No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

https://play.google.com/store/apps/details?id=chumba.cha.wakubwa