ZIFAHAMU SABABU ZINAZOPELEKEA KUCHEPUKA - UHONDO KITANDANI

Hot

Post Top Ad

Wednesday, May 1, 2019

ZIFAHAMU SABABU ZINAZOPELEKEA KUCHEPUKA

20190326_124716

queenveebosset-20190330-0001



kama heading inavyosoma, kumekuwa kuna malalamiko mengi kadri ya siku zinavyozid kwenda watu kusalitiana na kuvunjika kwa ndoa nyingi sana. Sababu zinazopelekea ni kama ifuatavyo
1. Kuwa insecure (me u ke kuhisi mwenza wake ana mahusiano mengine ya siri)
2. Kuchunguzana (haswa haswa kwenye hizi simu za kisasa zenye whatsapp,instagram)
3. Usiri wa hali ya juu
4. Kutokua na uvumilivu na vishawishi
5. Pesa

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad