WANAUME TU; MPE NAFAZI MKEO - UHONDO KITANDANI

Hot

Post Top Ad

https://play.google.com/store/apps/details?id=chumba.cha.wakubwa

Thursday, May 30, 2019

WANAUME TU; MPE NAFAZI MKEO




Unaweza ukawa ni mwanaume mwenyw elimu kubwa kabisa Lakini ukawa huna uwezo wa kufafanua mambo au ukawa huna uwezo wa kuchambua fikra zako na wakati huo huo mkeo akawa ana uwezo mkubwa sana wa kushauri na uwezo mkubwa sana wa kuchambua mambo mbalimbali,,,,,lakini kutokana na hulka iliyojengeka kuwa mwanamke hawezi utabaki tu unaumiza kichwa kila siku kumbe mtu wa kukusaidie unae hapo hapo nyumbani kwako,,,So kila binadamu ana nafasi yake kupitia akili yake,,,,mpe nafasi mkeo anaweza kufanya mambo makubwa katika maisha yako.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

https://play.google.com/store/apps/details?id=chumba.cha.wakubwa