UAMINIFU WA MWANAUME NI YEYE MWENYEWE - UHONDO KITANDANI

Hot

Post Top Ad

https://play.google.com/store/apps/details?id=chumba.cha.wakubwa

Sunday, May 26, 2019

UAMINIFU WA MWANAUME NI YEYE MWENYEWE



Baadhi ya wanawake wanapenda kuamini kuwa wanaume zao hawawezi kuwasaliti kwasababu labda wao ni wapole,wazuri,,wanayo shepu,,,,labda wanayo makalio makubwa na wanajali,,,hii sio kweli,,,,wapo wanaume wanawacheat wanawake zao wazuri kupita maelezo,,hivyo kama mwanaume wako hacheat basi sio kwasababu ya upekee wako bali una mwanaume ambae amechagua kuwa hivyo,,usaliti wa mwanaume hauhusiani kabisa na uzuri wa mwanamke,,,uaminifu wa mwanaume ni yeye mwenyewe,,,uimara wake wa kukabiliana na vishawishi,,kusimamia kiapo chake,,,aliye loyal na committed haswa,,sio jambo la mchezo mchezo.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

https://play.google.com/store/apps/details?id=chumba.cha.wakubwa