Habari msomaji wangu,,naomba niweke wazi juu ya hili,,kuna tofauti kubwa sana kati ya kupenda na kuoa,,,kupenda matokeo yake hupelekea ndoa lakini neno nakupenda usiliamini moja kwa moja bila matendo maana unaweza mpa mtu future yako na mwisho unaona unapoteza hatima yako,,upendo halisi hulinda future yako na mtu anayekupenda,,matendo yake yataonekana kwasababu kila afanyalo anafanya kwasababu ya kesho,,,ila kama mtu anasema anakupenda na anarudi nyuma kila siku,migogoro haiishi basi jua kuna kitu anataka atimize halafu akuache,kwani mtu asiyeishiwa sababu kila siku na sio mtekelezaji wa ahadi zake kuwa makini kwani atataka apate kutoka kwako na yeye kujiwekea ukuta usimwingilie.
Friday, May 24, 2019
Home
Unlabelled
SI KILA ANAYESEMA NAKUPENDA ANAFAA KUWA MKE AU MUME
SI KILA ANAYESEMA NAKUPENDA ANAFAA KUWA MKE AU MUME
Habari msomaji wangu,,naomba niweke wazi juu ya hili,,kuna tofauti kubwa sana kati ya kupenda na kuoa,,,kupenda matokeo yake hupelekea ndoa lakini neno nakupenda usiliamini moja kwa moja bila matendo maana unaweza mpa mtu future yako na mwisho unaona unapoteza hatima yako,,upendo halisi hulinda future yako na mtu anayekupenda,,matendo yake yataonekana kwasababu kila afanyalo anafanya kwasababu ya kesho,,,ila kama mtu anasema anakupenda na anarudi nyuma kila siku,migogoro haiishi basi jua kuna kitu anataka atimize halafu akuache,kwani mtu asiyeishiwa sababu kila siku na sio mtekelezaji wa ahadi zake kuwa makini kwani atataka apate kutoka kwako na yeye kujiwekea ukuta usimwingilie.
About neemasayi
Templatesyard is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of templatesyard is to provide the best quality blogger templates which are professionally designed and perfectlly seo optimized to deliver best result for your blog.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment