FAIDA ZA SIRI KIAFYA ZA KULA KAROTI - UHONDO KITANDANI

Hot

Post Top Ad

https://play.google.com/store/apps/details?id=chumba.cha.wakubwa

Tuesday, May 28, 2019

FAIDA ZA SIRI KIAFYA ZA KULA KAROTI



Asilimia kubwa tunapenda kutumia karoti katika kuunga katika mboga ya nyama na si kuila karoti kama karoti. wataalamu wanashauri ili uwe na afya bora unatakiwa ule karoti sita kwa wiki au moja kwa siku. Unaweza kula karoti ya kuchemshaa,juisi au mbichi.
Zifuatazo ndizo faida za kutumia karoti;
·Karoti ina element ijulikanayo kama beta-carotene ambayo husaidia kupambana na kansa.
·Pia ni chanzo kizuri cha vitamin na husaidia kuongeza kinga ya mwili,
·Karoti ina vitamin A ambayo ina patikana kwa wingi husaidia kuongeza uwezo wa kuona na mawasiliano ya seli.
· Pia ina madini kama sodiam,sulphur,chlorine na iodine.
·Juisi ya caroti husaidia sana katika kutibu ngozi iliyo kauka na ulaji wa mara kwa mara hupunguza uwezo wa kupata vidonda vya tumbo pamoja na madhara mengine kwenye mfumo wa chakula.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

https://play.google.com/store/apps/details?id=chumba.cha.wakubwa