Nitampata wapi Mpenzi Kama huyu? - UHONDO KITANDANI

Hot

Post Top Ad

https://play.google.com/store/apps/details?id=chumba.cha.wakubwa

Sunday, February 9, 2020

Nitampata wapi Mpenzi Kama huyu?






Ukipata mpenzi anayekuelewa na kukupenda kwa dhati basi hata dunia iwe ya taabu vipi kwako utaiona inazunguka kama kawaida na maisha yatasonga mbele kwa raha mustarehe, na hata matatizo mengine makubwa kwako huwa madogo kwa sababu tu unapenda na kupendwa kwa dhati.
Tabia ya kumchukulia poa mwenzi wako, kununanuna, kuzirazira, kuwa na moods za hovyo zisizo na sababu ya msingi, sio njema kabisa.

Tabia za namna hii hudhihirisha wazi kwamba haujapevuka na bado una utoto mwingi ndani yako, kama unajisikia vibaya kihisia, kama unamaumivu moyoni, kama umekerwa na kitu, kama uko bize au kama umeshamchoka mwenzako kuwa muwazi.
Zungumza kama mtu mzima, toa hoja yako ueleweke na siyo kuzugazuga na viishara vya kijinga ukifikiri vitafikisha ujumbe, hii game inahitaji waliopevuka, kama bado mtoto huku hakukuhusu, badilika.




No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

https://play.google.com/store/apps/details?id=chumba.cha.wakubwa