Mambo 5 yatakayo kusaidia mtu alie umizwa katika mahusiano - UHONDO KITANDANI

Hot

Post Top Ad

https://play.google.com/store/apps/details?id=chumba.cha.wakubwa

Friday, February 14, 2020

Mambo 5 yatakayo kusaidia mtu alie umizwa katika mahusiano


Unapotaka kumshauri mtu aliyeathirika na mapenzi unatakiwa kuyafahamu mambo haya muhimu nayo ni: 

1. Unatakiwa kujua maana ya upendo na gharama zake. 

2. Lazima ujue vyanzo vya kujenga uhusiano ili uwe imara na mwenye nguvu katika maisha ya wapendanao. 

3. Mambo 32 yanayojenga uhusiano kama ulivyosoma. 


4. Lazima ujue mambo yanayoweza kuharibu mahusiano na milango ya kuvunja mahusiano. 

5. Lazima ujue maumivu ya mapenzi ili uweze kuwaponya waliojeruhika kimapenzi.




No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

https://play.google.com/store/apps/details?id=chumba.cha.wakubwa