MAMBO 7 YANAYOSABABISHA UKE na KINEMBE KULEGEA - UHONDO KITANDANI

Hot

Post Top Ad

https://play.google.com/store/apps/details?id=chumba.cha.wakubwa

Friday, January 31, 2020

MAMBO 7 YANAYOSABABISHA UKE na KINEMBE KULEGEA





Kiukweli vipo visababishi vingi mno vya uke kulegea ama kua na
kisimi (Kinembe) kirefu Lakini zipo chache za kuzingatiwa (1).Jambo la kwanza kabisa Tafadhali kua na mpenzi mstaarabu mwenye hekma na kujua nini maana ya mapenzi
Nikisema kijana mtaarabu nina maana ya kwamba kuna vijana wengine sio wastaarabu kabisa katika suala la mapenzi Yaani anapokua na wewe katika mapenzi basi ujue yupo kwa ajili ya kujiridhisha yeye kama yeye Hivyo Upo uwezekano wa wewe kuachwa njiani kwakua ATAKICHEZEA KILE KINEMBE CHAKO KWA FUJO HUKU AKIKIMINYA MINYA ILI TU UMUONE KUA KAKISHISHIKA...YAANI ANAKISHIKA MPAKA UNAHISI MAUMIVU BADALA YA RAHA..SASA EPUKA MPENZI ASIEKUJALI KIMAPENZI (2).Jambo la pili ni kujichua (kujiridhisha wewe binafsi Au kupiga nyeto) Hili jambo sii la sisi wanaume tu Bali hata nyie wasichana muna tabia hii ya kujichua
Na uchuaji wa mwanamke ni tofauti na mwaume

MWANAMKE ANAPOJICHUA HUA CHA KWANZA KABISA LAZIMA AJISHIKE KINEMBE..KWANI NDIO SEHEMU ANAYOIONA NDIO MUHIMU SANA KWAKE LAKINI SII KWELI KWANI WANAWAKE WANA SEHEMU NYINGI SANA ZAIDI YA 15 ZENYE MSISIMKO ILA KWA AKILI YAKE ATAKIMBILIA KINEMBE NA HILO NDILO LINALOSABABISHA UKE NA KINEMBE CHAKE KUA VIBAYA NA VYA KUTISHA (3).Jambo la tatu ni Uchafu Hasa hasa zile siku za kublidi...
Kwanza kabla ya kublidi ni lazima mwanamke awe anabadili nguo za ndani mara 3 kwa siku. Yaani Asubuhi Mchana na Jioni...Ila sijui kama wewe dada unafanyaga hivyo?

NA TUKIJA KWENYE UPANDE WA KUBLIDI HUWA MWANAMKE ANAKUA NA JOTO JINGI SANA KATIKA UKE WAKE..NA UKISHAFIKIA HALI HIO YA KUTOKWA NA DAMU UKENI BASI KUNA VITU SPESHO VYA KUVIWEKA MAENEO HAYO KAMA VILE Pampasi ,Bambino na vingine vingi tu...ila kwa akili yako utasema hivyo vitu ni vya kitoto wakati zipo za wakubwa...we ulizani hizo pampasi na bambino ziliwekwa za wakubwa za nini kama sio hio?
KWAIO UTAMKUTA MWANAMKE ANAKAZANA KUCHANA KANGA NA VITENGE ILI AJIZIBE HUKO KUNAKOTOA DAMU...NA KAMA UNATUMIA HIZO KANGA BASI UNAPOKITOA KITAMBAA HICHO HAKIKISHA KISIRUDI TENA PALE..KWANI UNAPOKIFUA NA KUKIANIKA AFU UKAKIRUDISHIA



No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

https://play.google.com/store/apps/details?id=chumba.cha.wakubwa