😍😍😍😍😍
Mmoja Wa Wenye Hekma Alisema:
..........Jihadhari Na Kuwadanganya Wanawake Sababu Wana Uhodari Wa Kujua Ukweli Na Wana Uwezo Mkubwa Wa Kujifanya Hawajui
🍒🍒🍒🍒🍒🍒🍒🍒🍒🍒🍒🍒🍒🍒
Mwenye Kupoteza Penzi La Mwanamke Muaminifu Amepoteza Maisha Yake Yote #JE_WAJUA_KWAMBA
🌷🌷🌷🌷🌷Mwanamke Akiwasiliana Na Wewe Sanaa Inamaanisha Kua Hataki Kuongea Na Wanaume Wengine
🌷🌷🌷🌷🌷Mwanamke Utakae Mliza Hupata Mwanaume Bora Zaidi Kuliko Wewe Sababu Amejifunza Kuchagua Kwa Kutokana Na Jeraha lako
🌷🌷🌷🌷🌷Mwanamke Amiliki Hisia Sita Zaidi Ya Mwanaume Ndio Maana Hua Anatambua Haraka Mabadiliko Ya Mwanaume Anapo Msaliti
🌷🌷🌷🌷🌷Mwanamke Ana Subra Na Uvumilivu Wa Hali Ya Juu Iwapo Ataamua Kumuacha Mwanaume Ni Baada Ya Kujaribu Kumuomba Msamaha Zaidi Ya Mara Elfu Kwa Makosa Ya Ukweli Na Ya Uongo (Just To Her Marriage)
🌷🌷🌷🌷🌷Mara Nyingi Mwanamke Anapo Ungulika Hua Anapenda Kunyamaza Na Ukimkera Hunyamaza Kwa Kutarajia Mabadiliko Iwapo Ata React Hio Ni Ishara Kuwa Mapenzi Yake Kwako Ni Mengi Sanaa Na Hataki Kukupoteza
🌷🌷🌷🌷🌷Mwanamke Anapo Zungumziwa Na Mwanaume Kuhusu Mwanamke Mwengine Basi Huficha Kilio Chake Nyuma Ya Tabasamu Lake
🌷🌷🌷🌷🌷Mtume Muhammad Salallahu Alayhi Wasallam Kamfananisha Mwanamke Na Chupa Ya Kioo Kwaiyo Muibebe Polepole Isianguke Ikavunjika Maana Yake Ni..........
#MUISHI_NA_WAKE_ZENU_KWA_WEMA
🔞WAKUBWA TU:TAZAMA VIDEO ZA WAKUBWA LIVE UJIONEE STAILI KALI ZA KUMFIKISHA KILELENI MPENZI WAKO
No comments:
Post a Comment