Bidada Zingatia haya👌👌 _ 💙JICHO 👉 legeza jicho wakati wa kumtazama bwana 👌 sio unalikaza mpaka anaogopa. Ikiwezekana kula kungu manga. Mwanamke ubunifu👌 _ 💙PUA 👉 usiseme nna pua mbaya cjui nn 👌👌 bb ukiongea na bwana ata km unapua km nukta shikashika uku ukijifanya km unamafua 👌 _ 💙SIKIO 👉 ata km una sikio km ungo lipambe kwa hereni sio lazima za kuning'inia km mmasai zipo ndogo, akija mume ataliona skio dogo👌 unakwama wapi shoga
_ 💙💙💙NYWELE👉 akuna limbwata zuri km nywele lkn mmh! Kuna baadhi ya watu nywele zimefungwa mabutu wala azijulikani rangi gani, wala mstari auonekani. Wanume wengine wanapenda kuchezea nywele jamani 👌👌 sio lazima uvae wigi, suka vizuri ata twende kilioni 🙌🙌 _
MENO 👉 shoga wee mume mpaka kula denda anaogopa kwa meno yalivyogandia vinyuzi vya spinachi na maharage. mswaki unaona km gundi ya viatu👅. Alafu unasumbua watu mume wangu wala anikic, mara naombeni jinc ya kutengeneza limbwata wakati wewe mwenyewe limbwata ila ujui kujitumia.
_
ULIMI👉 shoga una kauli chafu km choo cha stendi shuti mume anaona bora arudi nyumbani saa 5 au 6 kawahi saa 4.👌👌 Na bado atarudi mpaka asubuhi km ujajielewa na kauli zako👌
_
SURA 👉 bibi poda toka umepambwa cku ya haruc mpaka leo ata wanja huujui👌👌 utaskia mie poda inantoa vipele 😬 wanja na lipstik jee zinakutoa vidonda na majipu
_
SHINGO👉 jamani sio lazima cheni lifike tumboni vaa ata fupi👌👌 jiongeze 💙💙💙MKONO👉 mie sio muhindi nkitembea km nimejifunga mabati shoga vaa saa au nayo nzito km jiwe la fatuma?👌👌 wengine alhamdulillah waume zetu wanajitahidi kwa mapambo kutununulia 👌👌lkn wavaaji sasa kichefuchefu pooh!
_VIDOLE 👉 usieneze pete midole yote vaa japo 1 ili mume naye akikushika mkono aone tofauti😁
_
KIUNO👉 uwezi kuvaa shanga vaa cheni sio kiuno kiko plain km karatasi ya stationary bb inahuu 👌
_
TAKO👉 Aijalishi uko flat screen bb 👌👌mtege mumeo hivyo hivyo 👌 sio weye mchana dera ucku dera, mume anashindwa ata kuona shepu yako 😎😎 jiachie ukiwa ndani 👌👌
🔞WAKUBWA TU:TAZAMA VIDEO ZA WAKUBWA LIVE UJIONEE STAILI KALI ZA KUMFIKISHA KILELENI MPENZI WAKO




No comments:
Post a Comment