UBUNIFU KITANDANI NI MUHIMU - UHONDO KITANDANI

Hot

Post Top Ad

https://play.google.com/store/apps/details?id=chumba.cha.wakubwa

Monday, May 27, 2019

UBUNIFU KITANDANI NI MUHIMU





Wakati mwingine mapenzi yanapungua kwa wanandoa au wapenzi kwasababu tu wanandoa au wapenzi hao wamekosa kuwa wabunifu katika maisha yao ya mahusiano au ndoa waliyonayo,,,wanakosa kuwa na mambo mapya juu ya maisha yao na mapenzi kiujumla,,,ukitaka mpenzi,mume au mke akuone wa kitofauti kila iitwayo leo lazima ujifunze kuwa mbunifu katika kila hatua ya maisha mnayoishi,,,,,,jifunzeni na badilikeni,,,,,,,,hii itasaidia kubadili staili ya maisha yenu kiujumla.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

https://play.google.com/store/apps/details?id=chumba.cha.wakubwa