Wengi najua tunapenda kuona wakati mnapo tambulishana kama wachumba kwa wazazi,,,,lakini nataka nikukumbushe kuwa,,,pindi unapokuwa katika uchumba jua kwanza,,wazazi wa mpenzi wako pamoja na ndugu ndo wakati wao kukusoma tabia na MWENENDO wako,,,maana hata wale hawakukujua ndo wakati wao wa kutaka kukujua,,,katika kipindi hiki unatakiwa uwe wewe kama wewe,usitake kufanya mambo ambayo yapo nje na uwezo wako ili kuwafurahisha,,,,pili jitahidi kuwasiliana na mpenzi wako na kuhakikisha mnakuwa na nia moja na kusimamia malengo yenu,,,maana wakati huu washauri wengi hujitokeza,,na mambo mengi huibuka,,sasa msipokuwa na msimamo,maneno wa watu na ndugu yatawaharibia,,kumbukeni maisha ni ya kwenu,maadamu mnaelewana na kusikilizana,jitahidini kusimamia malengo yenu,,Tatu jitahidini kumuomba Mungu ili atangulie safari yenu,,ili maisha yenu yaambatane na baraka zake,,
Wednesday, May 22, 2019
Home
Unlabelled
HATUA YA UCHUMBA INA MAMBO HAYAA
HATUA YA UCHUMBA INA MAMBO HAYAA
About Brown Mgeni
Templatesyard is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of templatesyard is to provide the best quality blogger templates which are professionally designed and perfectlly seo optimized to deliver best result for your blog.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment