KWENU WANA NDOA>>>Hakuna mtu wa thamani kwako hapa duniani kwa muda
huu kama MMEO/MKEO. Yeye ni shujaa na jasiri kuliko mwanaume/mwanamke yeyote unayemfahamu chini ya jua. Huyu amefanya maamuzi makubwa na ya imani, amewaacha wazazi na ndugu zake anaowajua tabia na maisha yao halafu akaamua kuja kuishi na wewe, mtu baki, usiye wa damu moja naye, usiye na vipaumbele sawa naye, usiye na mipango sawa naye. Akaamua kuua personal interest zake ili mradi awe na wewe na muanzishe interest, goals, dreams n vision za kwenu wote. Hii ni SADAKA KUBWA awezayo kutoa mwanadamu, ‘KUJITOA KWAKO’…Usidhani wewe pekee ndiye ulimwona, wako wengi walimtaka, tena wengine walikuwa wamemaanisha kuliko wewe. Wako hata ambao kwakweli wanampenda na kumthamini kuliko wewe. Lakini wote hao kawaacha, kwa UPENDO WA AJABU kaja kwako. Na mara hii umeyasahau yote haya,unamlinganisha na mama/babako.Kama unadhani mama/babako ni bora kuliko mke/mme wako, basi ungemwoa/ungeolewa na mama/babako. **MPE MMEO/MKEO HADHI YAKE, acha utoto! **
Sunday, March 3, 2019
Home
Unlabelled
Madhara ya kumnyima mwanaume Naniliu..
Madhara ya kumnyima mwanaume Naniliu..
About Uhondo kitandani
Templatesyard is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of templatesyard is to provide the best quality blogger templates which are professionally designed and perfectlly seo optimized to deliver best result for your blog.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)




No comments:
Post a Comment